Ally k nina zawadi yako.......njoo unywe supu isiyochemshwa uzidi kunoa sauti hyo.
labda diamond ajiulize kwa nini masanja mkandamizaji hachukiwi? nani asiyejua jinsi jamaa alivyo na hela? hata lady jaydee pia na kama ni suala la maisha mazuri basi hata jux na mtu kama cyril wangechukiwa pia...chunga kauli zako mr nassibu
Mmmmhhhh,supu gani hiyo tena jamani???
Karibu kinywaji......
Anaijua mwenyewe.......chezea supu isiyochemshwa nn??
Naona leo pro Kiba mnajimwayamwaya ile balaa.
Naona leo pro Kiba mnajimwayamwaya ile balaa.
Hahahaaaaa,uwiiii nimeshaijua. miss strong una hatari wewe?
Wala miguu ya kuku na utumbo wa kuku wa Dar ndio hawampendi Diamond kwa sababu amewazidi kipato na umaarufu.. Huku mikoani kwa wajanja wote wanamkubali Diamond
Yeye mwenyewe najua alifurahi sana......unaijua kauli ya chozi mnyonge ulipwa na Mungu??Ujinga amfanyie huyo huyo bob junior
It's your day Miss Strong,enjoy your self.
Thanks Robert.......Let us enjoy
Don't worry Miss.
Diamond anazushiwa na maadui wake ili wamharibie sifa yake nzuri kwa watanzania na wapenda muziki ndani na nje ya Tanzania. Wapuuze wote wanaozushia yeye ndie JEMBE LETU EAST AFRICA.