Uchawi umedunda kwa Ally Kiba

huyu muchunguzi toka asubuhi anaisakama roho ya dimond mpaka aitoe!
 
Fangus za Wema zinatafuna ubongo wa domo, Mbeya hakuna hotel yenye hadhi yake yeye analala wapi? domo amekuwa kwa kuchambia kopo leo kapata nafuu ya maisha anatukana watu??

Ha ha ha ha ha ha ha!

Sasa mkuu Mingoi, George Bush anaweza kulala Landmark Hotel pale Ubungo? Inawezekana ni kweli Mbeya hakuna Hotel ya hadhi yake.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha ha ha!

Sasa mkuu Mingoi, George Bush anaweza kulala Landmark Hotel pale Ubungo? Inawezekana ni kweli Mbeya hakuna Hotel ya hadhi yake.

Basi hata waliozomea sio wa hadhi yake...ndio maana kiba wakamshangilia.
 
Last edited by a moderator:
Basi hata waliozomea sio wa hadhi yake...ndio maana kiba wakamshangilia.

Kama mmemzomea, atakuwa anatumbuiza BET akikosa kabisa anaenda South kutumbuiza kwenye BBA.

Nyie bakini na Mwana Dar Es Salaam wenu asiyejitambua, hadi leo bado anafanya mziki wa "kitoto".

Kama amekataa kusaidiwa kupewa collabo na Diamond basi aende akafanye collabo na size yake kina Pingu na Deso.
 

Ushuzi......hawamuelewi.Davido kambeba sana ila jana kagundua kuwa lile ni zigo la misumari.
 
Ha ha ha ha ha ha ha!

Sasa mkuu Mingoi, George Bush anaweza kulala Landmark Hotel pale Ubungo? Inawezekana ni kweli Mbeya hakuna Hotel ya hadhi yake.

Mkuu Sumu,George Bush tangu anazaliwa amekuta maisha ya raha na anasa.Diamond ameng'atwa sana na kunguni na kuoga bafu la passportsize Tandale leo anaponda maisha ya hotel za Mbeya?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sumu,George Bush tangu anazaliwa amekuta maisha ya raha na anasa.Diamond ameng'atwa sana na kunguni na kuoga bafu la passportsize Tandale leo anaponda maisha ya hotel za Mbeya?

Msamehe mkuu. Itakuwa alijisahau.

Si unajua tena masikini akipata?
 
duuu! sipati picha wakazi wa MBEYA watakavyo ziridusha dharau walizo fanyiwa na sukari ya warembo.

kama nipo kwenye akili ya Chibu sasa ili nyota ipande sasa Wema akirudi tu anapigwa kibuti ili jina lipande
 
Tukio la kuzomewa diamond mpaka sasa hakuna mganga aliyejitokeza kutafuta kiki kama yeye mganga ndo kasababisha?
 
Mkuu Sumu,George Bush tangu anazaliwa amekuta maisha ya raha na anasa.Diamond ameng'atwa sana na kunguni na kuoga bafu la passportsize Tandale leo anaponda maisha ya hotel za Mbeya?

amekosea daimond awaombe msamaha watu wambeya
miss strong@nifah
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…