Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond na harmonize kwani waliwahi kuchukua hiyo tuzo😁😂Hivi hili linawezekanaje???
Yaani[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kibinti kidogo chenye miaka 22 kimechukua Grammy ila Alikiba ana miaka
40+ hana Grammy hata moja huu si Uchawi..!!
😂😁Hakuna uchawi.
Ni majuha tu wenye kuamini huo uongo!
Yo! Jina lako la zamani nani?
Sharo hiphopYo! Jina lako la zamani nani?
Akijibu aje kuchukua ele ya sodaDiamond na harmonize kwani waliwahi kuchukua hiyo tuzo[emoji16][emoji23]
Kwahiyo we ngosha unabisha kuwa hakuna michongo kupaa kwa ungo na ulozi hufanyika huko Gamboshi, au kwakuwa umekaa US kwa muda umejisahaulisha hii mambo ambayo ni common huko udukumani?Hakuna uchawi.
Ni majuha tu wenye kuamini huo uongo!