Uchawi watawala AFCON 2017

Mane kapiga kwa maringo kakosa ya tano
 
Cameroon are through to the Semi final.
 
Kumbe uchawi upo na unafanya kazi kwenye Soka!

.

Yatupasa na sisi wadau mbalimbali tuunganishe nguvu ili kuisaidia timu yetu pendwa inayoitwa Taifa Stars a.k.a ''Kichwa Cha Mwendawazimu''.
Siku hizi wanakiita kichwa cha mwendokasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…