Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.

Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.

Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.

Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikuwa wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
 
Duuh! Hivyo ni kweli aliwahi mchakaza vile lol.

Wanaume punguzeni vipigo aisee na pia yawapasa mjue kipigo si suluhisho la kutatua tatizo cha zaidi linaeza kuwa ndio mchochezi wa kuongeza matatizo na hata mifarakano isiyokwisha.

Na hicho ndo kwa upande wangu naona kimetokea kwa Shilole.
 
Uchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.

Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalilisha au unajidhalilisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu.
 
Shadeeya nakusalimu!

Pamoja na shida nyingi za wanawake lakini hatupaswi kuwapiga.
 
Umesababisha niku quote kwa comment yako hii, wanawake wengi wanashindwa kutofautisha ndoa na maisha ya usupasta, sasa mtu unalala nje siku mbili bila kutaka kuulizwa unategemea nini!!

Kwanza uchebe nae mjinga sana hicho siyo kipigo ni kakofi tu angempa kipigo ninachojua Mimi sidhani angepata nafasi ya kuja kupost kakofi ka mwaka Jana insta.
 

Acha kushadadia ujinga wewe.

JANAMKE lenye domo domo lazima likung'utwe. Tena lidundwe kweli kweli!

Bila hivo wanawake wote tutakua na mamidomo kama Wangari Maathai au Khantwe.
 
Khantwe siunaona sasa maujinga ya kusikiliza upande mmoja.
Sawa hiyo mwaka jana alikosea kutoa kipigo iko.... aya unalala nje siku mbili tatu??? Hahahahahahahaha .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…