Kakubali ila si mwaka huu [emoji2] [emoji2][emoji2]Uchebe; Kwa hiyo hapa umekiri kosa au umekanusha?
Wapo wanaoweza sasa ndio maana pia wanakutana na vikatazi vishirikishi..😂Siezi fanya hivyo aisee.
Pia niseme msihalalishe kosa 100% huenda ni katika kujitetea tu kwa huyo mwanaume.
Ndio maana mwaka jana hakupost mkuu Hali ilikuwa mbaya [emoji2][emoji2][emoji2]Umesababisha niku quote kwa comment yako hii, wanawake wengi wanashindwa kutofautisha ndoa na maisha ya usupasta, sasa mtu unalala nje siku mbili bila kutaka kuulizwa unategemea nini!! Kwanza uchebe nae mjinga sana hicho siyo kipigo ni kakofi tu angempa kipigo ninachojua Mimi sidhani angepata nafasi ya kuja kupost kakofi ka mwaka Jana insta.
Sasa hivyo vikatazi vishirikishi umeviona mwisho wake?Wapo wanaoweza sasa ndio maana pia wanakutana na vikatazi vishirikishi..😂
Humjui tu ila ni mtu mwenye uwezo wa kumudu hata kutunza familia na kumbuka kabla ya shishi alikuwa na mke na watoto. Naangalia watu wanavyomwuongelea na ninavyomjua ni tofauti kabisa. Usilolijua na usiku wa kiza. Mie alikuwa fundi wangu namjua sanaKumiliki biashara haimaanishi mtu sio Mario.
Ni sawa uone mdada anafanya kazi halafu ujiaminishe hadangi au hana sponsor.
Duuh!! Sikuwa najua Ivuga. 🙏🙏Shadeeya hivi unajua kuwa nakupenda sana. Hope uko poa
Mie Alhamdulillah niko salama.
Yah!! Nadhani zipo njia nyingi za kutatua matatizo na suluhu ikapatikana na si kipigo.
Wanasemaga mtupige na upande wa khanga eti. 😂😂
Huyu tunaye muongelea hapa ni Uchebe ambaye yote uliyoyaandika hafanyi anafanyiwa kasoro kimoja tu ambacho hata wengine wana uwezo wa kukifanya na ndio maana analala nje hata siku mbiliSemea kwamba ni wazi hakukua nandoa plus kulelewa .Nikuvalishe?? Nikulishe.??nikukaze??? Nikutunze nakukupa huduma kama mtoto??? Unafanya lolote kwa Pesa yangu, watoto wale kwa Jasho langu namengineyo mengi......
Alafu ulale nje ?? Unisaliti??? Hahahhaah Ukijua unalala, hamia hukohuko , Ukinisaliti hata km sijajua anza kua na mpango B , kwasababu hata kama ni baada ya mwaka ,miaka, Siku nikijua UTAONDOKA TU.. hamna namna.
We mbona unatetea au na wewe ndo hao wakulala nje siku 2..?😅Sasa hivyo vikatazi vishirikishi umeviona mwisho wake?
utaoa na kuacha mara ngapiHivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol
Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.
Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
Kumiliki biashara haimaanishi mtu sio Mario.
Ni sawa uone mdada anafanya kazi halafu ujiaminishe hadangi au hana sponsor.
Sasa kama anajimudu kwa shilole kafuata nini kaacha watoto wabichi wabichi?Humjui tu ila ni mtu mwenye uwezo wa kumudu hata kutunza familia na kumbuka kabla ya shishi alikuwa na mke na watoto. Naangalia watu wanavyomwuongelea na ninavyomjua ni tofauti kabisa. Usilolijua na usiku wa kiza. Mie alikuwa fundi wangu namjua sana
Hahahaaa. Weeee!!!Endelea kushadadia ujinga!
Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikua wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Huko kupiga je nako utapiga mara ngapi? Mwishowe uuwe bureutaoa na kuacha mara ngapi
Mkuu rudia kusoma alichoandika InstaShilole kasema 'Picha ni za matukio tofauti' so hata kama ni za mwaka jana hii inaingia kwenye hoja yake ya '... ni za matukio tofauti'
Hii ndoa ilikua imeisha siku ambayo mwanamke aliamua kujipiga picha kila alipopigwa. Kingine, wanawake mbona kuna dalili za mwanzo tu za mtu yukoje? Maana nakumbuka kabla ya ndoa waliwahi ripotiwa kupigana pia. So kuna tabia ni endelevu, tujifunze.
Unaujua umbea?
[emoji2][emoji2][emoji2] Kawaida ni kama SheriaChama la wana..haliwezi kupaki home usiku mzima
Jr[emoji769]