Civil engineer 23
New Member
- Mar 15, 2023
- 1
- 1
Habari wana JF nimepokea malalamiko kutoka kwa mwanafunzi X wa diploma in engineering under government sponsorship.
Awali kama serikali ilivopendekeza kufutwa kwa Tuition fee kwa wanafunzi hao wa uhandisi ngazi ya stashada pia inafuatiwa na kupewa hela ya kujikimu wakati wakiwa mafunzo kwa vitendo yapata 6000/= kwa siku sasa ucheleshwaji wa izo hela ikiwa wiki ya 5 kati ya 10 za mafunzo.
Swali:
Je, hiyo haitohatarisha wanafunzi hawa kufanya field zao katika mazingira magumu na je mabinti wengi si ndo mwanzo wa kurubuniwa?
Naomba kuwasilisha wahusika waliangalie ili suala.
Cc: Student from Dar es salaam institute of technology (DIT)
Awali kama serikali ilivopendekeza kufutwa kwa Tuition fee kwa wanafunzi hao wa uhandisi ngazi ya stashada pia inafuatiwa na kupewa hela ya kujikimu wakati wakiwa mafunzo kwa vitendo yapata 6000/= kwa siku sasa ucheleshwaji wa izo hela ikiwa wiki ya 5 kati ya 10 za mafunzo.
Swali:
Je, hiyo haitohatarisha wanafunzi hawa kufanya field zao katika mazingira magumu na je mabinti wengi si ndo mwanzo wa kurubuniwa?
Naomba kuwasilisha wahusika waliangalie ili suala.
Cc: Student from Dar es salaam institute of technology (DIT)