Ucheleweshwaji wa mishahara ni uzembe wa watumishi au makusanyo kutokuwa ya kutosha

Ucheleweshwaji wa mishahara ni uzembe wa watumishi au makusanyo kutokuwa ya kutosha

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Hadi sasa hali ni ngumu tumezoea mishahara tar 23 na inapo tokea tar hiyo inaangukia weekend serikali huwa inatoa kabla ya hapo ili kuepuka kuutoa kwa tarehe za mbele.

kwa wenye uelewa na walioko jikoni je, ucheleweshwaji hutokana na watumishi waliopo wizara husika au makusanyo yanakuwa bado hayajafika kiwango kinachotakiwa kugawanywa.
 
Tarehe za mshahara ziligota siku za mapumziko hivyo kesho mambo yatakuwa sawa mapumziko yanakwisha leo.
 
Mshahara miezi ya hivi karibuni ulitoka tar 23- 24. Tarehe 24 ambayo kwasasa ni tarehe mahsusi imeangukia Jumapili.
Watumishi wengi wa B.O.T ni watunza rozari so walikuwa church leo.
Mimi silalamiki kuchelewa salary, nalalamika kukosekana kwa nyongeza ya mshahara.
 
Akili ya mbongo huwa ni tope kweli. Unapewa mshahara kila tarehe 24 alafu unasema serikali inajitahidi kutoa mshahara mapema maana zamani walikuwa wanaweka kati ya tarehe 28 hadi 31. So what is the difference?
 
Akili ya mbongo huwa ni tope kweli. Unapewa mshahara kila tarehe 24 alafu unasema serikali inajitahidi kutoa mshahara mapema maana zamani walikuwa wanaweka kati ya tarehe 28 hadi 31. So what is the difference?
Zero
 
Hivi hii mishahara huwa wanagawaje? Yaani ni manuale anaingiziwa mmoja baada ya mwingine au ni mfumo tu unamwagwa kila mtu anapata chake kwa wakati mmoja?
Hali mbaya hapa hadi nafikiria ujinga.
 
Subiri tunachakata namba za utambulisho wa mlipa Kodi maana watumishi mnajisahau
 
Hivi hii mishahara huwa wanagawaje? Yaani ni manuale anaingiziwa mmoja baada ya mwingine au ni mfumo tu unamwagwa kila mtu anapata chake kwa wakati mmoja?
Hali mbaya hapa hadi nafikiria ujinga.
Tarehe 78 January 2021[emoji23]
 
kikubwa ni nyongeza ya mshahara na Arrears
Minaishauli serikali ipunguze mishara kwasababu watanzania tusipoonyesha uzalendo kwa taifa letu ni naniatakaye tusaidia ktk utekelezaji wamiradi mikubwa inayoendeshwa kwafedha zandani
Naishauri serikali ipunguze angalau asilimia kumi tu naatakayepiga ajitoe kwenye mfumo
Gwara again[emoji69]
 
Back
Top Bottom