Tipstipstor
JF-Expert Member
- Nov 29, 2021
- 1,528
- 3,352
Ahlan wa sahlan
Nikiwa kama Ex-mkamaria kuanzia sasa, ninelifanyia uchunguzi suala hili na kugundua kuwa Kamari ni jambo linaloweza kumpelekea mchezaji kupata shambulizi la moyo la ghafla.
Kwa mchezaji kamari yoyote naomba ajiangalie hali yake ya mapigo ya moyo pindi anapobeti mpaka pale majibu yanapotoka,Niwazi kuwa atagundua kuwa kuna ongezeko kubwa la mapigo ya moyo ,jambo ambalo ni hatari sana na linaweza hata kumpelekea mtu akapoteza maisha.
Wito wangu ni kuwa kama unaipenda afya yako au hutaki kuzeeka kabla ya wakati wako kutokana na stress za kubeti basi acha kubeti mara moja.
Nikiwa kama Ex-mkamaria kuanzia sasa, ninelifanyia uchunguzi suala hili na kugundua kuwa Kamari ni jambo linaloweza kumpelekea mchezaji kupata shambulizi la moyo la ghafla.
Kwa mchezaji kamari yoyote naomba ajiangalie hali yake ya mapigo ya moyo pindi anapobeti mpaka pale majibu yanapotoka,Niwazi kuwa atagundua kuwa kuna ongezeko kubwa la mapigo ya moyo ,jambo ambalo ni hatari sana na linaweza hata kumpelekea mtu akapoteza maisha.
Wito wangu ni kuwa kama unaipenda afya yako au hutaki kuzeeka kabla ya wakati wako kutokana na stress za kubeti basi acha kubeti mara moja.