Uchimbaji mafuta Uganda wazua hofu.

jamadari

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2010
Posts
295
Reaction score
92
Wasiwasi umeibuka kuhusu mipango ya makampuni ya mafuta ya Uingereza na Ireland kuchimba mafuta magharibi mwa Uganda.
Wanaharakati wa mazingira nchini Uingereza, wamesema kuwa serikali za Uganda na Uingereza, zimeruhusu kandarasi za uchimbaji wa mafuta ambazo zinafaidi makampuni hayo bila kujali maslahi ya wakaazi wa maeneo hayo wanaoishi katika umaskini.

Wanaharakati hao wa kikundi cha 'Platform' wanasema harakati za kutafuta mafuta nchini Uganda, huathiri mazingira.

Hata hivyo makampuni hayo ya kigeni yamesisitiza kuwa yatajitahidi kulinda mazingira na yanaunga mkono usimamizi bora wa sekta ya kibinafsi.

http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2010/02/100217_uganda_mafuta.shtml
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…