China's standard gauge railway makes strong impact on Kenya's economy
As the biggest project since Kenya's independence in 1963, SGR is a flagship development which showcases the fast speed and high quality of the China-Kenya cooperation.news.cgtn.com
Fanya kazi kenge wewe ,au kama maisha yanakubana olewaTulikuwa na SGR plan yetu tayari in place chini ya JK na tulishasaini Memorandum of understading na Exim bank ya China, kwa mkopo ambao tungeulipa ndani ya miaka 20. Alipokuja bwana mkubwa huyu akapangaluapangalua arrangement iliyokuwepo, matokeo yake tunatumia pesa zetu nyingi kupeleka nje na maisha ya wananchi yanakuwa magumu kwa sababu pesa zinakwenda nje kufinance mradi huu
Fanya kazi kenge wewe ,au kama maisha yanakubana olewa
- Mkopo wa China ungetugharimu mara mbili ya huu wa sasa.Tulikuwa na SGR plan yetu tayari in place chini ya JK na tulishasaini Memorandum of understading na Exim bank ya China, kwa mkopo ambao tungeulipa ndani ya miaka 20. Alipokuja bwana mkubwa huyu akapangaluapangalua arrangement iliyokuwepo, matokeo yake tunatumia pesa zetu nyingi kupeleka nje na maisha ya wananchi yanakuwa magumu kwa sababu pesa zinakwenda nje kufinance mradi huu
- Mkopo wa China china ungetugharimu mara mbili ya huu wa sasa
- Treni ingekuwa ya kiwango cha chini cha tani 25 badala ya 35
- Tungechafua mazingira kwa kuwa treni ingetoa moshi mzito wa diseli?
- Treni ingekuwa inatingisika kwakuwa reli yake isingekuwa imechomelewa.
- Isingekuwa ya umeme
- Isinge kuwa na mwendokasi wa 120km/h
- Tusingeweza kuajiri zaid ya 90% ya wafanyakazi
Ule mkopo ulikuwa sawa sawa? Au ndio mkopo kama ule wa kujenga bomba la gas Mtwara Kinyerezi? Shida yetu sio mkopo, bali ni uadilifu wa kutumia nafasi za kuomba hiyo mikopo kujinufaisha binafsi na familia zaoTulikuwa na SGR plan yetu tayari in place chini ya JK na tulishasaini Memorandum of understading na Exim bank ya China, kwa mkopo ambao tungeulipa ndani ya miaka 20. Alipokuja bwana mkubwa huyu akapangaluapangalua arrangement iliyokuwepo, matokeo yake tunatumia pesa zetu nyingi kupeleka nje na maisha ya wananchi yanakuwa magumu kwa sababu pesa zinakwenda nje kufinance mradi huu
Kwa upuuzi huh ndiyo maana nyuzi nyingine tuaishia kuziangalia tu, baba Wa taifa Alisha sema hakuna kitu cha bure sio wajomba zetu.Tulikuwa na SGR plan yetu tayari in place chini ya JK na tulishasaini Memorandum of understading na Exim bank ya China, kwa mkopo ambao tungeulipa ndani ya miaka 20. Alipokuja bwana mkubwa huyu akapangaluapangalua arrangement iliyokuwepo, matokeo yake tunatumia pesa zetu nyingi kupeleka nje na maisha ya wananchi yanakuwa magumu kwa sababu pesa zinakwenda nje kufinance mradi huu
Aina ya mataruma ya reli na jinsi reli inavyolazwa inaenda sambamba na aina ya speed ya treni. Zile za mwendo mkali huwa na reli zilizonyooka zaidi ili kupunguza centripetal force (msukumo wa kwenye kona) inayoweza itoa treni kwenye reli.Speed inategemea mashine uliyokuwa nayo, siyo mataaluma ya reli.
Huwezi ondoa emission (kwa 100%) ya injini ya diesel na makaa ya mawe ila ya umeme haina emission.Kuchafua Mazingira kunategemea aina ya treni unayoburuza juu ya reli hiyo, ya makaa ya mawe, ya diesel au ya umeme, haitegemei mataaluma ya reli yanayotandazwa
Aina ya mataruma ya reli na jinsi reli inavyolazwa inaenda sambamba na aina ya speed ya treni. Zile za mwendo mkali huwa na reli zilizonyooka zaidi ili kupunguza centripetal force inayoweza itoa treni kwenye reli.
Pia treni za mwendo makali zinakuwa na mataruma yaliyo karibu karibu ili kupunguza kiasi cha potential energy (kunesa nesa) kinachoweza tengenezwa na kuweza kuitoa treni kwenye reli ikiwa kwenye mwendo mkali.
Huwezi ondoa emission ya injini ya diesel kwa 100%
Kwa upuuzi huh ndiyo maana nyuzi nyingine tuaishia kuziangalia tu, baba Wa taifa Alisha sema hakuna kitu cha bure sio wajomba zetu.
Ungekujua kinachoendelea angola, Zambia na kwengineko haya usingeandika u upuuzi wako, juzi tu rais kazungumza kuhusu mradi Wa bagamoyo na hao hao wachina, sijui ninani aliyeturoga
Ule mkopo ulikuwa sawa sawa? Au ndio mkopo kama ule wa kujenga bomba la gas Mtwara Kinyerezi? Shida yetu sio mkopo, bali ni uadilifu wa kutumia nafasi za kuomba hiyo mikopo kujinufaisha binafsi na familia zao
Kashaolewa ama huoni gumzo za jamviniFanya kazi kenge wewe ,au kama maisha yanakubana olewa
Ule mkopo ulikuwa sawa sawa? Au ndio mkopo kama ule wa kujenga bomba la gas Mtwara Kinyerezi? Shida yetu sio mkopo, bali ni uadilifu wa kutumia nafasi za kuomba hiyo mikopo kujinufaisha binafsi na familia zao
Inaonekana unajiongelea tuu vitu usivyovijua kiundani.Reli huwa zina viwango vyake, ukisikia SGR tayari ni international standard ambayo imeshawekwa
Wanaenda kupalilia ujingaHivi huko shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
- Speed inategemea mashine uliyokuwa nayo, siyo mataaluma ya reli.
- Kuchafua Mazingira kunategemea aina ya treni unayoburuza juu ya reli hiyo, ya makaa ya mawe, ya diesel au ya umeme, haitegemei mataaluma ya reli yanayotandazwa
Tatizo linakuja pale unapoweka question mark bila kujua mkataba unasemaje
Kwa mfano kwa nini uamini utawala huu unachokuambia badala ya kuamini utawala uliopita wakati serikali ni ile ile ya chama kilekile?
Usiniambie utawala huu ni msafi wakati sote tunajua kwa mfano wamenunua ndege kwa pesa ambazo hazijaidhinishwa na bunge wala kufanyiwa ukaguzi na CAG!
Sasa kwa nini kwa mfano umuamini JPM akisema mradi X una ufisadi badala ya kumuamini JK aliyesema mradi X ni safi?
Ni nani kati yao mwenye rekodi safi kumzidi mwenzie?
Hoja hamna kazi matusi je kuolewa ndo suluhisho la maisha magumu??? wewe ulipoolewa umefukia climax ya mafanikio?? Je baba ako akikuambia maisha magumu nae pia utamuambia akaolewe??Fanya kazi kenge wewe ,au kama maisha yanakubana olewa
Awamu ya nne haijawahi kuwa na sound project iliyoisaini na tukawa comfortable kama nchi