Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Awamu ya nne haijawahi kuwa na sound project iliyoisaini na tukawa comfortable kama nchi
Wanasiasa usiwaamini anaweza kujipinga mpka yy mwenyewe kesho wakati leo umemuaminiNilishituka kusikia hata terminal III ya airport, asilimia 70 ya hela ilishatumika wakati kazi iliyofanyika haikuwa hata asilimia 40. How on earth could that be? Uvujaji wa mali ya umma ndio haiba yao wana siasa?
Nakwambia Magu anamezea tu ila ana Siri nyingi sana za mkwere na hapendi kumu upset . Mkataba wa gas , bagamoyo vyote ni kilio awamu zilizotugharimu sana Tanzania ni awamu ya nne ikifuatiwa na ya Tatu hasa kwenye kukwapua na kuuza miradi ya awamu ya kwanza na miradi ya madini ila kati ya wote nne ni vunja junguNilishituka kusikia hata terminal III ya airport, asilimia 70 ya hela ilishatumika wakati kazi iliyofanyika haikuwa hata asilimia 40. How on earth could that be? Uvujaji wa mali ya umma ndio haiba yao wana siasa?
Nakwambia Magu anamezea tu ila ana Siri nyingi sana za mkwere na hapendi kumu upset . Mkataba wa gas , bagamoyo vyote ni kilio awamu zilizotugharimu sana Tanzania ni awamu ya nne ikifuatiwa na ya Tatu hasa kwenye kukwapua na kuuza miradi ya awamu ya kwanza na miradi ya madini ila kati ya wote nne ni vunja jungu
Awamu ya nne imefanya makuu ya kupendeza hakika itakumbukwa daima
Moral authority yakufanya hivyo ingetoka wapi wakati wizi ulikuwa umetamalaki? na hauchukuliwi hatua?Kwani Mkwere naye wakati wake angeamua kumshughulikia kwa ishu ya nyumba za serikali, Kivuko cha bagamoyo leo hii angekuwa hapa alipo?. naye angoje atakeykuja afukue kaburi la trilion 2.4 ndipo utakapojua kuwa usijifanye mtakatifu wakati una yako
Hili nijibu mulua KabisaFanya kazi kenge wewe ,au kama maisha yanakubana olewa
Design ya reli pia ina-matter! Reli ya Kenya ilivyo treni haiwezi kukimbia over 120km/h!Hivi huko shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
- Speed inategemea mashine uliyokuwa nayo, siyo mataaluma ya reli.
- Kuchafua Mazingira kunategemea aina ya treni unayoburuza juu ya reli hiyo, ya makaa ya mawe, ya diesel au ya umeme, haitegemei mataaluma ya reli yanayotandazwa
Mataluma nayo yanachangia speed...Hivi huko shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
- Speed inategemea mashine uliyokuwa nayo, siyo mataaluma ya reli.
- Kuchafua Mazingira kunategemea aina ya treni unayoburuza juu ya reli hiyo, ya makaa ya mawe, ya diesel au ya umeme, haitegemei mataaluma ya reli yanayotandazwa