Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar



Mtasumbuka sana,lakini ukweli ni vigumu sana kufutika,
We are smarter than that,Zama unazowazia haziwez kujirudia tena..
 
Naona umehamaki...Unaikumbuka ile sheria ya ugaidi niliyokudokezea?
Sweke, Hakika nimekasirika. Watu wakiondokewa na mtu wao ni wa kufarijiwa. Haiwi kitu cha kusukuma agenda zetu. Yeye ajiweke mahali pa ndugu walopoteza jamaa yao ndiyo labda kama ana akili atajua ninachomweleza. Nilikupa jibu kuwa mimi nimetoa paper kuhusu hiyo sheria ya ugaidi University of Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006. Ila nilisahau kukuambia hiyo conference walifadhili US na Iran kwa pamoja.
 
Utatishika vipi huku hata akina Sheikh Ilunga wanadunda mitaani bila hofu yoyote katika huu mfumoKristo. Mohamed Said, uliwahi kuonya sana kwamba mambo yako jikoni yanachemka, je muda umefika?...vyombo vyote mmekamata lakini hamuishi kulalamikia mfumo Kristo.
 


Unaysema haya leo baada ya jakaya kuingia madarakan au?
Umesahau zama zilizopita?
Saiz sote tutakula sebulen,na sio wengine mle chakula sebulen na wengine tuwe tunalia chakula jikon,zama hizo Tunazirudisha kwenye msawazo,tuish kindugu kama zamani..,
 
BD, Kweli povu limenitoka. Siyo uungwana kuicheza shere maiti. Habari zangu kuwa CIA\FBI wewe unazijua leo. Ngoja nikuonjeshe kidogo na ndiyo maana nikakwambia fungua uzi nikupe taarifa zangu. Miaka minane iliuopita waliingia katika email yangu kunitaarifu kuwa ninatembelea tovuti wasizozipenda... Baada ya mwezi nikatoa paper Chuo Kikuu Cha Ibadan kuhusu ugaidi. Jamaa walikuwapo na wakanisikia nilivyokuwa nawakanyaga. Cameras were rolling pamoja na digital tape recorder zao... Tunajuana sana... 2011 wakanialika US kuhadhir kwenye vyuo vyao viwili na nikasomesha madarasa mawili ya undergraduate. Huko pia nikawakanyaga kama kawaida yangu and cameras were rolling... Fungua uzi tujadili mambo haya kuna mengi ya kujifunza.
 
Mohammed Said huwezi kujificha kwenye Uislamu wakatu unachochea chuki dhidi ya Wakristu, makanisa na Watanzania wenzako. Miezi kadhaa nyuma kwenye ule mnakasha mwingine niliuangaliza hilo kuwa ni uchochezi wako wa kujenga uhasama na faraka baina ya Watanzania utakuja kuzaa matunda. Karibu watu wote ambao wanadai Waislamu wamedhulumiwa wote wanatumia maandishi yako kama ushahidi.

Naweza kusema kwa uthabiti tu kuwa you the ideological power behind the current rise in animosity between Christians and Muslims. Kwa kweli unatumia dini ya Kiislamu kama cover tu ya kufanikisha kile unachokitaka - a separation between the two communities. Separation ambayo tayari umefanikiwa ni kuwafanya baadhi ya vijana wa Kiislamu (labda wapo na wazee) wasiwaangalie tena Watanzania wenzao kama wananchi wenzako bali wawaangalie kama "maadui wa Uislamu". Yote haya ni matokeo ya mafundisho yako.

Uchochezi wako dhidi ya legacy ya Nyerere umepandikiza chuki ya ajabu na kejeli ya baadhi ya Waislamu dhidi ya Nyerere. Maandishi yako ni ushahidi wa hili. Sasa ungekuwa umeandika kama mwanahistoria labda kazi yako ingekubalika kidogo kuwa ina chembe ya usomi wa kihistoria. Lakini hukutaka kufanya hivyo; ulitaka kuleta hisia zako za chuki dhidi ya Ukristu na Wakristu kwa kutumia historia. For this reason you have twisted history, made up stories and without any sense of personal responsibility unafaidika na mfarakano mkubwa ambao umetokea katika jamii.

Wakati unadai unapinga dhulma dhidi ya Waislamu wewe mwenyewe unakaa na kuangalia wakati baadhi ya Waislamu wanafanya dhulma kwa kutumia ushawishi wa maneno yako dhidi ya Wakristu. Qurani Tukufu haiiti watu kuchochea dhulma bali kutafuta suluhu na upatano. Siyo hivyo tu lakini kutengeneza mazingira ya msamaha na kupatana baina ya watu badala ya kuwachochea watu kisasi na chuki zaidi.

Mzee Said, Qurani yenyewwe inakuambia hakuna aliyerafiki karbu sana na Waislamu kama Wakristu na sababu pia ni kuwa ndani yake wamo mapadre na watawa. Kwanini uendekeze kujenga chuki badala ya kuurudisha ule urafiki wa asili kati ya Wakristu na Waislamu? Ninasoma hapa maneno ya baadhi ya Waislamu (au wanaojitambulisha kuwa ni Waislamu) jinsi ambavyo inaonekana kuwa hawajui mapenzi yalliyopo baina ya Waislamu na Wakristu...


Sura 5:82

لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَة ً لِلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُمْ مَوَدَّة ً لِلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَى ۚ ذَلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانا ً وَأَنَّهُمْ لاَ يَسْتَكْبِرُونَ
 

Mwenzako alimtaja Fidel Castro, tukamuuliza unaweza kumtaja Fidel Castro bila kumtaja Che Guevara?

Tukamkumbusha pia awe anaelewa kutofautisha biography na history.

Wewe inabidi nianze kukupa darsa la utakatifu.
 
Mohamed Said wewe na wafuasi wako kila mnaposhindwa hoja mnakimbilia kutaka watu waanzishe uzi mwingine, kwani wewe unaona hatari gani kuanzisha huo uzi kama una nondo za kutoa na hapa hazifai kuwepo?

Hoja ambazo hazihusiani na mada kwa nini mnaogopa kupata darsa, kama nyinyi ni wa kweli?

Hii hoja hapa kaifunguwa nani? mbona tumekuja? kinachowatia hofu nini haswa? au mmeona hii mambo yamewageukia mnaogopa kufunguwa nyingine?
 

Hiyo sura tafsiri yake kwa Kiingerrza ni hii:


Na Kwa Kiswahili ni hii:

Sasa tuoneshe uchochezi wa Mohamed Said uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
ngoja nichangie hapa kidogo
naona hapa ni tatizo la kumezeshwa maneno
na bila kufanya utafiti,hili lipo kwa watanzania wengi
sakata hili aliyelisema wa kwanza ni slaa wakati wa kampeni 2010
kwamba kuna makontena yameingizwa yakiwa na karatasi za kupigia kura
uchunguzi ulipofanyika ikabainika taarifa iliyotolewa si sahihi
kwanini nimeamua kuweka sawa taarifa hii?
sababu makontena hayo hayakuwa na karatasi za kupigia kura,
bali vipodozi.Muingizaji wa vipodozi hivyo,namjua vizuri sana
na ni mtu wa karibu yangu mno.Familia zetu ni ndugu,
na hata alipotakiwa kuonesha documents zinazothibitisha
uhalali wa umiliki na uingizaji wa vipodozi hivyo tulikuwa pamoja
samahani kwa kuwatoa ktk mada husika
 
Mikataba ya Barrick imesainiwa kati ya 1993 na 1995 which means mazungumzo yalianza long kabla ya hapo. Wameanza production 2000. Lakini wameingia Bulyankulu tangu 1996 wakati raia wetu walipofukuzwa na wengine kuzikwa hai, kwa mujibu wa LEAT.

Huna uhakika wala huijui yakini, unapachika tu.
 

Una ushahidi wa hayo au unafurahisha jamvi tu?

Waje 1977 awaambie hivyo, waje tena sijui 1994, kikaragosi wake awakubalie na yeye yuko hai? unaelewa unachokiongea lakini?
 


Si tunaskia tetes ya kwamba BENJA CHINGA
Ndie muhusika mkuu wa kumkolimba?sasa hoja yako kuu haswa kwenye hili ni nin,,
Mkolimbaji huyu hapa,,

mwenye kaunda suti aliejishika mikono kwa nyuma na alievaa mawani,,upo??
 
Una ushahidi wa hayo au unafurahisha jamvi tu?

Waje 1977 awaambie hivyo, waje tena sijui 1994, kikaragosi wake awakubalie na yeye yuko hai? unaelewa unachokiongea lakini?
Naelewa kwa nini inakuwa vigumu kwa baadhi yenu kuamini ukweli kama unatofautiana na dhana zenu. Yes, Barrick came to Tanzania in 1977 seeking to mine gold but left after Nyerere gave them stiff terms.
 
Kama vilikuwa vipodizi kwa nini TRA walilazimika kuita polisi? Kwani TRA hawajui vipodozi ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…