Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #8,481
Mkuu vibarazani huwezi kupata historia ya uhuru? Chukua mfano baba yako nyerere yupo barazani anapata upepo huku anapata chai au chochote kile (sitaki niseme kahawa)!, akakueleza mambo ya uhuru hutaamini kwa kuwa yupo barazani?
Itaitwa ngano/simulizi
Histiria ni huwa inajiumba, na haisimuliwi kwa makengeza hata siku moja,
Na zaidi historia ya NCHI haiandikwi na mtu mmoja tena mwenye mlengo wakipekee.