Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,196
Ritz,
Salaam.
Nafikiri Sheikh Mohammed inamlazim apumzike japo kiduchu,la si hivyo hawa jamaa ni pasua kichwa tu!
Hawa ndo wanajiita ati wasomi na kudharau watu wa Madrassa!?
Yawaje leo mtu mwenye akili zake timamu atumie vigezo na reports za CIA,FBI au kuwaamini Wa-Amerika...historically hao watu ndo mabingwa wa urongo,uzandiki,fitna na unyama ulokithiri.
Hawana historia wala maadili asili ya kusema ukweli,muhimu kwao wao ni the so called "National interest",huku wakisahau yakuwa kila Taifa duniani lina National interests zake na lina kila haki ya kuzilinda.
Mtu anaambiwa na CIA ati Okello kapindua nchi kwa masumbwi!?ahahah!!...kuna vitu vingi mno hao CIA wameficha tena kwa makusudi kwenye hiyo "report" yao!!
Haya majambo ni very complex kuliko hata baadhi ya jamaa wajuavyo au wanavyofikiria. Ndo maana jana nalimpa tahadhari Yericko kiduchu,ambae lazim nimshukuru amejitahidi kuwa msikivu na mstaarabu kiduchu khasa kwenye topic hii. Lakini wanaomtia wazimu ni hao kina Nguruvi3 na mwenzie Mag3.
Hawa jamaa woote walishangilia na kusifia mno ile paper ya Dr. Ghassany ilipoletwa hapa jamvini na Wickama dhidi ya Mufti Sheikh Hassan Bin Ameir...sasa hivi ati woote wamegeuka hawakubali asilan kitabu kilichotungwa kwa umahiri na ustadi ulotukuka na huyohuyo Dr. Ghassany. Hii ndo tunaita unafiki wa kitaaluma!
Shukran.
Cc;Ritz,Kadogoo,Boko Haram,Kadogoo,The Big Show,Barubaru,Zali la Mentali,Sheikh Mohammed Said
Gombesugu;
Sijawahi kuleta paper ya Dr Ghassany hapa ikimpinga Sheikh Ameir. Tafadhali soma upya. Ni paper ya Dr. Issa Ziddy. Nayo pia haikuwa ikimpinga Sheikh. Dr Ziddy Siye huyu mwandishi wa kitabu cha Kwaheri uhuru........ Tafadhali kuwa mwangalifu kwa sababu Dr Ghassany awezakuwa miongoni mwa readers wa JF na nisingependa kuonekana nafanya upotoshaji wa kazi kubwa aliyoifanya au kuonekana kuwa namkosea heshima kinyume na alivyoandika. Hata hiyo paper unayosema Tafadhali soma contents zilizowekwa hapo hakuna mahali Dr Ziddy anapingana na Sheikh. Ile paper ilitumika kuonyesha mtafaruku wa kisiasa wakati ule kama alivyoutaja mwenyewe daktari na ambao ulimkumba sheikh Ameir. Please revisit tena na tena ile POST SIYO Dr Ghassany na uwe mwangalifu sana. Japo naona umeshalamba LIKE. Wote hawa huenda wanasoma hizi threads. Hiyo paper ni hiyo hapo.
SHAYKH ˘ASAN B. AMAYR AL-SHIRAZ
(1880-1979)ISSA ZIDDY