Mopao Josee JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 280 Reaction score 1 Nov 17, 2009 #1 wadau ni haki kweli!
Junius JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 3,181 Reaction score 144 Nov 17, 2009 #2 Wache bana, mwaka wao huu tusubiri hadi wafanye uchaguzi mwakani waanze migogoro labda kanda mbili tutaweza kulipa kisasi...saivi mmmmh...mnyama naona hataki utani hata kidogo
Wache bana, mwaka wao huu tusubiri hadi wafanye uchaguzi mwakani waanze migogoro labda kanda mbili tutaweza kulipa kisasi...saivi mmmmh...mnyama naona hataki utani hata kidogo
The Farmer JF-Expert Member Joined Jan 7, 2009 Posts 1,658 Reaction score 559 Nov 17, 2009 #3 Si unajua vilabu vyetu huwa vinayumbishwa na ukata tu??? mwaka huu hakuna tatizo la kifedha ndio maana mambo yanaenda fresh kabisa.
Si unajua vilabu vyetu huwa vinayumbishwa na ukata tu??? mwaka huu hakuna tatizo la kifedha ndio maana mambo yanaenda fresh kabisa.