KERO Uchomaji wa taka nyakati za usiku Soko la Sabasaba, Dodoma

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Jimmywatanzania

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2015
Posts
514
Reaction score
274
Kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchomaji wa taka kwenye soko la sabasaba jiji Dodoma, nyakati za usiku.

Taka hizo ambazo ni mabaki ya majani ya migomba na mabaki ya matunda kutoka soko la "miti mirefu na PAG" imekuwa kero kubwa kwa sisi wakaazi wa uhindini.

Wahusika watusaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…