Uchoraji holela wa tattoo unaweza kusababisha maambukizo ya UKIMWI?

Joined
Apr 24, 2024
Posts
9
Reaction score
7
Uchoraji wa tattoo ni sanaa iliyokuwepo katika eneo la uso wa dunia miaka mingi iliyopita ila sanaa hiyo imeendelea kukua hivi sasa kwa kiasi kikubwa baada ya ongezeko la asilimia kubwa ya watu kuvutiwa na sanaa hiyo huku wengi wao wakiwa na nia ya kuonesha upendo kwa ndugu, marafiki na ndugu jamaa zao wa karibu ama matukio wali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…