E EllySkyWilly JF-Expert Member Joined Aug 28, 2020 Posts 2,204 Reaction score 2,085 Oct 1, 2020 #1 Habari za leo ndugu na marafiki, natumai mu wazima wa afya njema. Bado naendelea na uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba bomba. Hii ni moja ya ramani ambayo naendelea nayo na hapa ndipo nilipofikia kwasasa. Ila bado haijamalizika bado naendelea kuipamba zaidi.
Habari za leo ndugu na marafiki, natumai mu wazima wa afya njema. Bado naendelea na uchoraji na ubunifu wa ramani za nyumba bomba. Hii ni moja ya ramani ambayo naendelea nayo na hapa ndipo nilipofikia kwasasa. Ila bado haijamalizika bado naendelea kuipamba zaidi.
ububudu JF-Expert Member Joined Feb 9, 2017 Posts 266 Reaction score 414 Oct 4, 2020 #2 Hivi unaifahamu ramani ya nyumba? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
E EllySkyWilly JF-Expert Member Joined Aug 28, 2020 Posts 2,204 Reaction score 2,085 Oct 4, 2020 Thread starter #3 ububudu said: Hivi unaifahamu ramani ya nyumba? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Ukiitaka njoo inbox, hiyo ni ramani inayo onyesha mwonekano halisi wa nyumba Katika 3 dimensional. Ukitaka hiyo yenyewe njoo inbox
ububudu said: Hivi unaifahamu ramani ya nyumba? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Ukiitaka njoo inbox, hiyo ni ramani inayo onyesha mwonekano halisi wa nyumba Katika 3 dimensional. Ukitaka hiyo yenyewe njoo inbox