ngoshwe JF-Expert Member Joined Mar 31, 2009 Posts 4,131 Reaction score 937 Dec 17, 2012 #1 Unapata uchovu wa hali ya juu asubuhi unapoamka mpaka unatetemeka. Lakini ukipata kifungua kinywa uchovu unapotea. pia ukichelewa kupata mlo wa mchana unaapata njaa kali mpaka unatetemeka. Ushauri tafadhali.
Unapata uchovu wa hali ya juu asubuhi unapoamka mpaka unatetemeka. Lakini ukipata kifungua kinywa uchovu unapotea. pia ukichelewa kupata mlo wa mchana unaapata njaa kali mpaka unatetemeka. Ushauri tafadhali.
georgeallen JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 4,118 Reaction score 1,875 Dec 17, 2012 #2 minyooooooooo