semmy samson
Member
- Dec 20, 2010
- 85
- 0
aaaaaaaaa Dena, dd mmoja shost yangu kavishwa pete mwaka wa 4 huu eti alikuwa anamsubiri mchumba wake arudi, mwenzie kuja kaja na mke mzungu na mtoto yy kabakia na pete kidoleni, baada ya hapo kenda jirusha bahari ya hindi hivi punde natoka naenda kumcheki kalazwa tumaini hosp. je ni haki alichofanyiwa?????????
mimi naona at list miezi isiyozidi 6, hiyo inatosha kukaa katika uchumba!!
sasa uchumba bila kuchakachuana mtajuanaje vizuri..................hebu gooonga ngooo...zi hiyo ili utambue ka inafaa au laah
mimi naona at list miezi isiyozidi 6, hiyo inatosha kukaa katika uchumba!!
Miaka 12 inatosha kujuana vyema!
umri wa mtu.
Wajuane wakiwa na miaka kumi. Baada ya miaka 12 watakuwa na 22.
Miaka 12 inatosha kujuana vyema!