Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Woooiiiiii Erick nawe umekua kama mwanaume wa kinondoni, miaka minne na nusu unapiga tuuu unasuuza rungu tuuu, huyo dem wako hata cheo hapandi utadhani ni mtumishi wa umma kwenye hii serikali tunayoishi....four good years unamuita "girl friend" tu??? Fine hata kumjaza napo imeshindikana kweli??? Bora jini mkamba kamba kapita tu bwana Dada wa watu akaolewe huko sio kumkula kula tu na kumuita my girl friend mtoto mwenyewe mzuri sijui umekwama wapi we mujaluo....
Japo hicho kibuti kizuri, wameachana kwa utamu hapo microwave inahusu full kupasha kiporo, future hubby wa chanty na future girl wa Eric wajiandae kisaikolojia kuliwa vitu vyao.
Japo hicho kibuti kizuri, wameachana kwa utamu hapo microwave inahusu full kupasha kiporo, future hubby wa chanty na future girl wa Eric wajiandae kisaikolojia kuliwa vitu vyao.