Hirizi kila kona, viwembe vimepita kila sehemu, shanga za kumwaga viunoni na haziruhusiwi kuonekana. Sasa avae kabukta ili iweje???
Dk Bilal akiwa mbuga za Serengeti
Bill Clinton akiongea na Pius Msekwa Ngorongoro Crater
Sisi Watanzania hata kuvaa kwendana na mazingira imekuwa shida.Ni lini tutaacha kuvaa suits kwenye mbuga za wanyama.Angalia viongozi wa nchi ngingine wakiwa holidai.
Yaani hapa msekwa kachemsha kweli kweli