HakikaPumbafff sana wewee..
Hujui lolote kwenye haya masuala ya bei za vyakula..
Wewe subiri jpm akiwa sehemu anazindua stendi sijui vyoo ujulishe watu kwamba yupo live kwenye ile television yenu marehemu.
shinyanga mchele wa 2400 unauzwa 1700 kwa wiki tatu zilizopita kwa sasa bei itakuwa imeshuka zaidiNina uhakika ndo maana nakataa.
Mbwiga na babako mzazi ambaye kala hasara kuzaa zwazwa akifikiri mtoto! Eti wapo site! Mimi nipo site pia na ninayaondoa maji kwenye majaluba ili kuuruhusu mpunga kukauka! Hizo taarifa za kulishwa mlishane na wajinga wenzako wanaojipendekeza na kusifu hata yasiyosifika!Wewe mbwiga unabishana na maafisa masoko waliopo site?...kalagabaho!
Kama shinyanga nakataa kwani kijana wangu yupo kahama ananunua mchele kwa bei ya jumla ambayo ni sh 2000/= kwa kilo. Akiufikisha dar atauza sh 2600/= ili aambulie faida ya sh. 300/=kwa kilo! Haya huo unaousema wewe kwa mvua hizi unapatikana sehemu gani?s
shinyanga mchele wa 2400 unauzwa 1700 kwa wiki tatu zilizopita kwa sasa bei itakuwa imeshuka zaidi
kwa mavuno ya mwaka huu itafika mimi niko mkoani naona bei inavyoshuka kwa sasa 1700 ila buku hawezi fikaDuuh ila tangu dollar igonge Tsh 2100 kwa TZs sijawah kuona mchele daraja la kwanza ukauzwa 1300 hata 1500 haipo
Kazi yaki kunukuu tu na hujishughulishi kutafuta ukweli kwenye chanzo kingine? Na huo muda wa mtoto wa kiume kukaa kuangalia tv muda wote unaupata wapi? Aah sorry nilisahau kuwa unaishi kwa dada! Tujuze na mengine yatakayorushwa na hako ka channel!Nimewanukuu maafisa masoko kwa mujibu wa Eatv!
Unamaanisha hamna cost zaidi ya kutoa hapo shambani hadi kwa wholesaler, au hizo bei ni mikoani hukohukokwa mavuno ya mwaka huu itafika mimi niko mkoani naona bei inavyoshuka kwa sasa 1700 ila buku hawezi fika
mahindi ndo hakuna tutegemee kupanda kwa bei ya unga
nazungumzia bei ya shinyanga na sio darUnamaanisha hamna cost zaidi ya kutoa hapo shambani hadi kwa wholesaler, au hizo bei ni mikoani hukohuko
Eeeh mavuno yakiwa mengi suplly inakuwa kubwa bei inashuka, ila baada ya demand kuwa kubwa supply ndogo tutasema watu wameficha kwenye magodown, km sakata la mafuta ya kula lililotokea hapo kabla, au ule uchumi haukukua umekuja kukua kwenye mchelewachumi uchwara, kushuka kwa bei uchumi ndio unakuwa, hawajui saa ivi mazao ndio yanavunwa soko linabidi libadilike kufuata supply na demand. kwanini mnang'ang'ania uchumi unapanda bila kuwa na data za GDP
wanapenda kujidanganya sijui wana malengo gani.Eeeh mavuno yakiwa mengi suplly inakuwa kubwa bei inashuka, ila baada ya demand kuwa kubwa supply ndogo tutasema watu wameficha kwenye magodown, km sakata la mafuta ya kula lililotokea hapo kabla, au ule uchumi haukukua umekuja kukua kwenye mchele
Huku Tabora wilaya ya Kaliua Debe Tsh.5000 la mpunga.Imeelezwa na maafisa masoko wa jiji la Dsm kuwa bei ya mchele imeshuka kutoka sh.2600 hadi sh.1300 kwa kilo na itaendelea kushuka hadi kufikia sh.1000 kwa kilo. Hali kadhalika bidhaa nyingine muhimu za chakula bei zimeendelea kushuka ikiwa ni ishara ya kuimarika kwa uchumi. Source Eatv habari!
Wapi huko nihamieHuku kwetu kilo ya mchele sh 600 sukari 400 unga wa ngano 500 sembe 200
acha kunukuu ujingaNimewanukuu maafisa masoko kwa mujibu wa Eatv!