Uchumi wa kidijitali: Mradi gani wa kidijitali wanaweza kubuni mtaani kwa mtaji mdogo faida kubwa?

Black Bolt

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2021
Posts
257
Reaction score
417
Kulingana na tupo kwenye era ya teknolojia napenda kuanzisha mjadala.

Mjadala:
Endapo kijana/vijana wana aina zifuatzo za mtaji
1)Mtaji pesa
2)Digital devices(Computer, Smartphone nk)
3)Basic Computer skill mf Ms Office

Kijana/Vijana hawa wanaweza kuanzisha mradi gani kama Side Hustle ambao watatumia pesa ndogo sana ila wakapata faida kubwa kwa muda mfupi, mradi huo ulenge kutoa huduma/ujuzi fulani kwa jamii au kundi fulani la watu katika jamii.

Ningependa tujadiri kwa kina
 
3.kwa mtazamo wangu inabidii utanue ujuzi in advance level otherwise basic kutoboa ni ngumu sana.
->msome Elon musk historia yake.
->E-commerce ukiwa creative unaweza kuwin.
->Unaweza ukawa freelancer ukatoa consulting service inategemea eneo ulilojikita kwa online platform kadhaa mfano UPWORK n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…