Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Watanzania huwa wanaita uchumi wa Kenya kuwa ni wa kwenye makaratasi. Hivi leo Kenya imeanza rasmi mazungumzo na Marekani kuhusu free trade deal ambayo itapunguza vikwazo vya kibiashara baina ya nchi hizi mbili.
Maoni yangu kuhusu habari hii ni kuwa Kenya ijichunge maana Kenya ina uchumi mdogo na ni vyema tuweze kunegotiate a fair deal. Kwa mfano Mexico kupitia Nafta iliweza kunyakua fursa ya kutengeneza magari za Kimarekani huko Mexico kwa sababu ya cheap labour.
Kwa hivyo tukifanikiwa kunegotiate trade deal nzuri basi tunaweza kuvutia makampuni ya Kimarekani kama akina GE na Ford huku Kenya. Lakini tashwishi na uoga wangu ni kuwa kuna uwezekano wa Kenya kupata dili mbaya (raw deal). Yaani kuna uwezekano wa Kenya kuwa dampo ya bidhaa kutoka Marekani kama vile tumekuwa dampo ya bidhaa kutoka China. Trade lazima iwe give and take, isiwe one sided kwa maana inaeza kuua industries zetu zote.
=======
US launches talks with Kenya on free trade pact
Washington (AFP) - The US government formally launched talks with Kenya on Wednesday aimed at setting up a free trade agreement that could form the basis for deals with other African nations.
"Kenya is a recognized leader across the continent, an important strategic partner of the United States, and there is enormous potential for us to deepen our economic and commercial ties,” said Ambassador Lighthizer.
He said "a comprehensive, high-standard agreement" with Kenya could go on to "serve as a model for additional agreements across Africa."
President Donald Trump has alternatively denigrated African nations and taken a hard line in trade dealings with some countries, while also pursuing his preference for bilateral talks over regional or multilateral agreements, launching an exploratory working group with Kenya's President Uhuru Kenyatta in 2018. The leaders earlier this year agreed to work towards a free trade deal.
Betty Maina, Kenya's secretary for Industrialization, Trade, and Enterprise Development, said the two countries "have strong trade relations demonstrated by growing exports and imports which have increased over the years."
"Increasing and sustaining export performance to the United States requires a trade arrangement that is predictable and guarantees preferential market access for Kenyan products. Kenya is also keen to attract Foreign Direct Investment from the United States," she said.
The initial round of talks will take place virtually over the next two weeks due to the COVID-19 pandemic.
Source: AFP
Maoni yangu kuhusu habari hii ni kuwa Kenya ijichunge maana Kenya ina uchumi mdogo na ni vyema tuweze kunegotiate a fair deal. Kwa mfano Mexico kupitia Nafta iliweza kunyakua fursa ya kutengeneza magari za Kimarekani huko Mexico kwa sababu ya cheap labour.
Kwa hivyo tukifanikiwa kunegotiate trade deal nzuri basi tunaweza kuvutia makampuni ya Kimarekani kama akina GE na Ford huku Kenya. Lakini tashwishi na uoga wangu ni kuwa kuna uwezekano wa Kenya kupata dili mbaya (raw deal). Yaani kuna uwezekano wa Kenya kuwa dampo ya bidhaa kutoka Marekani kama vile tumekuwa dampo ya bidhaa kutoka China. Trade lazima iwe give and take, isiwe one sided kwa maana inaeza kuua industries zetu zote.
=======
US launches talks with Kenya on free trade pact
Washington (AFP) - The US government formally launched talks with Kenya on Wednesday aimed at setting up a free trade agreement that could form the basis for deals with other African nations.
"Kenya is a recognized leader across the continent, an important strategic partner of the United States, and there is enormous potential for us to deepen our economic and commercial ties,” said Ambassador Lighthizer.
He said "a comprehensive, high-standard agreement" with Kenya could go on to "serve as a model for additional agreements across Africa."
President Donald Trump has alternatively denigrated African nations and taken a hard line in trade dealings with some countries, while also pursuing his preference for bilateral talks over regional or multilateral agreements, launching an exploratory working group with Kenya's President Uhuru Kenyatta in 2018. The leaders earlier this year agreed to work towards a free trade deal.
Betty Maina, Kenya's secretary for Industrialization, Trade, and Enterprise Development, said the two countries "have strong trade relations demonstrated by growing exports and imports which have increased over the years."
"Increasing and sustaining export performance to the United States requires a trade arrangement that is predictable and guarantees preferential market access for Kenyan products. Kenya is also keen to attract Foreign Direct Investment from the United States," she said.
The initial round of talks will take place virtually over the next two weeks due to the COVID-19 pandemic.
Source: AFP