Uchumi umepanda kwenye makaratasi sio kiuhalisia.
kukuwa kwa uchumi haima(economic growth)haimaanishi kuimarika kwa maisha ya wananchi(standard of living) kama ilivo kwa kuengezeka kwa kipato cha mtu mmoja mmoja (Income per Capital) haimainishi kwamba standard of living itaimarika, unaweza kujiuliza kwa nini? kabla sijatoa jawabu, kwanza tuangalie vp pato la taifa linatafutwa (Calculated of National Income)
kama utatumia Expenditure method,
NI= C + I + Nx (Export -Import) + G: C = Public Consumption; I= Investement portion hii ni muhimu sana, na ikitokezea kubadilika kidogo basi itaathiri kwa kiwango kikubwa pato la Taifa, na I imejumuisha "Inventory" " Residential Building" pamoja na " private Investement nyengine" katika hili la Investement, utagundua kuwa ndani yake inapatikana Residential Building, thamani yake ( Residential Building) ina jumlishwa katika kutafuta pato la taifa, tujuilize hapa, nani anepinga kwamba thamani ya soko za nyumba za Tanzania kuwa hazikuwi, kila uchao new private resident building zinajengwa zenye thamani kubwa, hivyo kupelekea ku unuwa pata la taifa ; G = Government spending
Mimi na kubaliana kuwa uchumi unakuwa actual lakini kwa nini maisha hayaimariki,? jibu la suala hili linatokana na tatizo la Ugawanyaji wa keki ya Taifa " Distribution of National Cake" ina maanisha hakuna usawa, kwa io kuwengezeka kwa uchumi kutawafaidisha pamoja na kuona kwamba uchumi unakuwa wale ambao watajuhusisha moja kwa moja na zile shughuli zilizopelekea kukuwa kwa uchumi, mfano kama uchumi umekuwa katika secta ya utalii basi wale walio partcipate more ndo watakao hisi na kuona kwamba secta hii, inakuwa ukilinganisha na wale wasio partcipate kwa kiwango kikubwa