Uchumi wa Tanzania uko inclusive ukilinganisha na majirani zetu

Uchumi wa Tanzania uko inclusive ukilinganisha na majirani zetu

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Nyerere mim simkubali kwenye mambo kadhaa Ila kwenye swala la ardhi nampongeza sana alicheza kama pele Tanzania hata maskin wa kutupwa unauwezo wa kumiliki ardhi hiki kitu huwezi kukikuta kenya

Jiji kama Nairobi upper middle class kumiliki ardhi ni ishu sana lakin Hali ni tofauti sana Kwa Dar es salaam, familia za kawaida kwa dar es salaam zinauwezo wa kumiliki ardhi tofauti na nairobi

Currently Tanzania na mapangufu yake yote lakin uchumi wake upo inclusive yaani ukiwa na jitihada Tanzania unatoka kirahisi sana ni tofauti na majirani zetu
 
Nyerere mim simkubali kwenye mambo kadhaa Ila kwenye swala la ardhi nampongeza sana alicheza kama pele Tanzania hata maskin wa kutupwa unauwezo wa kumiliki ardhi hiki kitu huwezi kukikuta kenya

Jiji kama Nairobi upper middle class kumiliki ardhi ni ishu sana lakin Hali ni tofauti sana Kwa Dar es salaam, familia za kawaida kwa dar es salaam zinauwezo wa kumiliki ardhi tofauti na nairobi

Currently Tanzania na mapangufu yake yote lakin uchumi wake upo inclusive yaani ukiwa na jitihada Tanzania unatoka kirahisi sana ni tofauti na majirani zetu
Kweli kabisa kuna wakenya wengi sana wanakimbiliaga huku Tz. Ukiwàuliza wànasema huko hali c hali
 
we-want-beer-poster-in-hands-sketch-vector-29184732.jpg
 
Back
Top Bottom