Uchumi wa tujiviwanda hautegemei umeme wa uhakika

Uchumi wa tujiviwanda hautegemei umeme wa uhakika

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Ukweli ni kwamba kuendesha nchi kwa mchango wa uchumi wa tujiviwanda hakuna umuhimu sana wa umeme kuwa wa uhakika.

Ila kama unataka sekta ya viwanda iwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi namaanisha uchumi wa viwanda hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa umeme kuwa wa uhakika kwa kiwango kikubwa.

Huwezi mualika tajiri Elon musk awekeze Tesla Gigafactory katika umeme huu.

Huwezi mualika boss mkubwa wa BYD bwana Wang Chuanfu aje awekeze BYD Gigafactory hapa Tz kwa umeme huu.

Huwezi mualika Boss wa Apple Tim cook aje awekeze likiwanda la Apple hapa kwa matatizo haya ya umeme.

Huwezi mualika Boss mkubwa wa Huawei aje awekeze likiwanda kikubwa la Huawei barani Afrika kwa umeme huu.

Huwezi waalika matajiri wanaojitambua wa kijapan,kikorea, kijerumani, kimarekani, kiingereza, kichina, kisingapore n.k waje wawekeze maviwanda yao makubwa ya kutisha kwa umeme huu wa maruerue hapana haiwezekani.

Matapeli wa kichina wa Low budget wazee wa tuviwanda bubu twa kulipa wafanyakazi 3000 kwa siku hao ndio wanaweza kuendesha huto tuviwanda twao kwa huu umeme wa maruerue.

Tanzania tunafanya uchumi wa tujiviwanda sio uchumi wa viwanda nao ufahamu.
 
Uchumi wa tujiviwanda
df2a643760de2e7c2f5709c86b408f00.jpg

Vs
Uchumi wa viwanda

202312227eb20a2de76048cf907c762af6d99f21_XxjwshE007063_20231222_CBMFN0A001.jpg

Teslas-new-megafactory-project-in-Shanghai.jpg
 
Ukweli ni kwamba kuendesha nchi kwa mchango wa uchumi wa tujiviwanda hakuna umuhimu sana wa umeme kuwa wa uhakika.

Ila kama unataka sekta ya viwanda iwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi namaanisha uchumi wa viwanda hapa kuna umuhimu mkubwa sana wa umeme kuwa wa uhakika kwa kiwango kikubwa.

Huwezi mualika tajiri Elon musk awekeze Tesla Gigafactory katika umeme huu.

Huwezi mualika boss mkubwa wa BYD bwana Wang Chuanfu aje awekeze BYD Gigafactory hapa Tz kwa umeme huu.

Huwezi mualika Boss wa Apple Tim cook aje awekeze likiwanda la Apple hapa kwa matatizo haya ya umeme.

Huwezi mualika Boss mkubwa wa Huawei aje awekeze likiwanda kikubwa la Huawei barani Afrika kwa umeme huu.

Huwezi waalika matajiri wanaojitambua wa kijapan,kikorea, kijerumani, kimarekani, kiingereza, kichina, kisingapore n.k waje wawekeze maviwanda yao makubwa ya kutisha kwa umeme huu wa maruerue hapana haiwezekani.

Matapeli wa kichina wa Low budget wazee wa tuviwanda bubu twa kulipa wafanyakazi 3000 kwa siku hao ndio wanaweza kuendesha huto tuviwanda twao kwa huu umeme wa maruerue.

Tanzania tunafanya uchumi wa tujiviwanda sio uchumi wa viwanda nao ufahamu.
Nchi ya kipumbavu sana hii
Yaani kuzaliwa hili taifa ni laana
 
Back
Top Bottom