Uchumi wa viwanda si mchezo, mpaka chekechea zinabidi zisajiliwe

Uchumi wa viwanda si mchezo, mpaka chekechea zinabidi zisajiliwe

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Vijana wenzangu kwema?

Hiki kipindi napenda kukibatiza jina kutoka MITANO TENA mpaka SHIKA ULICHONACHO.

Kama una ajira shikia hiyo ajira yako, kama huna kazi basi shikia papo hapo. Una biashara shikia(chunga) biashara yako.

Huna biashara basi shikia papo hapo.
Rafiki yangu ana vichekechea 3 hapa Dar es salaam.

Kaletewa ujumbe/barua avisajili mpaka kufikia tarehe ya muhula mpya yaani 11 January 2021 la sivyo avifunge haraka. Jamaa kachanganyikiwa.

Ukiangalia faida anayoipata baada ya kuondoa gharama za uendeahaji kwa mwezi anabakiwa na pesa ya mbogamboga tu.

Sasa si mitano tena bali ni SHIKA ULICHONACHO
 
098765.jpg
 
Sasa akivisajili si ndo sahihi bwashee,kuliko akiendesha vituo vyake bila kuvisajili?
au mimi ndo sijaelewa mada yako?
 
Tubadilike watanzania maisha bila utaratibu ndio hvyo kila siku lawama tunaitupia serikali kma nikulipa kodi tulipe jambo linaloitaji kibali akikisha unacho hapo ndipo tutaona mabadiliko yakwel sio kulalamika tu
 
Mamaeeew SHIKA ULICHONACHO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
- Unatoaje elimu kwa watoto bila mamlaka kujiridhisha na kukupa kibali cha kufanya hivyo?..

- Alafu unaambiwa uisajili shule yako unalalamika kwamba mamlaka zinakuonea.
 
Mungu Ndiyo Anajua
Tumesubiri Miaka Mingi Kumpata
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Maji Tutaita Mmaa, Mwafa!!Twafa!!


Shika Sana Ulichonacho
Atake Asitake Mpaka Afie Kwenye Kiti
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Sasa wewe unataka ziendeshwe kienyeji ili likitokea la kutokea uwe kwanza kulaumu hata usajili hazina?Acha kupenda kufanya mambo kwa mazoea.
Wewe wakati unasoma tuition center ulizosoma zilikuwa registered?
Je , gharama za usajili unazijua?
Imagine Mwalimu wa nursery ana laki 4 anataka kujiajiri. Hapo angetumia hiyo laki nne kuandaa mazingira ya kazi then apate kipato. Kwasasa atawezaje hapo?
 
Election is a one edged sword
Life after election is a two edged sword

Kwa watakaonielewa lakini
 
Wakubwa naomba kujua gharama za usajili wa hivi vituo (chekechea) KWA anyefahamu msaada please.
 
Bei ya cemnt walijidai wanaikemea kinafki sahiv wamejinyamazisha nafikiri wamebariki bei ya cmnt iwe 23 wapumbavu kabisa wanatuletea drama
 
Back
Top Bottom