ukiachia tatizo la mlolongo mrefu wa vibali mara risiti za serikali hapa nnchi , tanzania ndio nchi pekee ambayo gharama ya nafaka ni chini mno na kupitisha mzigo toka nje kupitia tz ni nafuu ya muda na fedha na usalama asilimia 95..hakuna mfanya biashara mjinga kutoka lubumbashi, rwanda, burundi ,zambia ataacha kupitia tz eti kwakusikiliza wanasiasa hawa wanaovuna wasivyopanda...
ingawa pia serikali yetu kuna vitu vingine muwe na strategies hili linalotokea sasa lingeepukika mapema sana haiwezekani wote mnaomshauri rais hamuoni kinachoendelea ujue hawa majirani zetu wengine hawatutakii mema na ili kutuaribia ndio wanavyotufanyia hivi wanaanza mdogomdogo mwakani wataibua jingine tena nia ni kuhakikisha majirani wema wanapata mashaka taratibu uu tukija kushtuka sumu imesha sambaaa na hapo ndio tutachemka kweli.