SoC02 Uchumi

Stories of Change - 2022 Competition

Ghalib01

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
15
Reaction score
18
Mimi nitauzungumzia UCHUMI kimaana nina Uhusiano nao, pia katika hili kuna SAYANSI na ELIMU ndani yake. Nitatumia Sayansi ya Uumbaji katika kuuzungumzia UCHUMI lakini kabla ya kwenda kwenye UCHUMI kwanza tuijue hii Sayansi ya Uumbaji ni nini!? Sayansi ya Uumbaji ni MSINGI wa DUNIA ama MWANZO wa SAYARI, lakini pia Sayansi ya Uumbaji ina Kanuni zake, miongoni mwa Kanuni zake, Viunganishi vya maneno huwa hatuvifanyii Sayansi ya Uumbaji yaani hatuvifanyii hesabu, sasa tuijue Sayansi ya Uumbaji kupitia Sayansi ya Uumbaji, tazama

Sayansi Uumbaji kinamba

S=19, A=1, Y=25, A=1, N=14, S=19, I=9, U=21, U=21, M=13, B=2, A=1, J=10, I=9

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+9+1+2+5+1+1+4+1+9+9+2+1+2+1+1+3+2+1+1+0+9= 66, hivyo SAYANSI ya UUMBAJI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 na MSINGI wa DUNIA ni hivyo hivyo, tazama

Msingi Dunia kinamba

M=13, S=19, I=9, N=14, G=7, I=9, D=4, U=21, N=14, I=9, A=1

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+1+9+9+1+4+7+9+4+2+1+1+4+9+1= 66, hivyo MSINGI wa DUNIA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 kama ilivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni namba 66 kimaana SAYANSI ya UUMBAJI ni MSINGI wa DUNIA, lakini pia ni MWANZO wa SAYARI, tazama

Mwanzo Sayari kinamba

M=13, W=23, A=1, N=14, Z=26, O=15, S=19, A=1, Y=25, A=1, R=18, I=9

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+2+3+1+1+4+2+6+1+5+1+9+1+2+5+1+1+8+9= 66, hivyo MWANZO wa SAYARI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 66 kama ilivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni namba 66 kimaana SAYANSI ya UUMBAJI ni MWANZO wa SAYARI pia, na imekuwa hivyo kwa kuwa Dunia ni SAYARI pia, hivyo SAYANSI ya UUMBAJI ni MSINGI wa DUNIA na pia ni MWANZO wa SAYARI. Hatujatumia Viunganishi vya maneno kwa sababu Kanuni ya Sayansi ya Uumbaji huwa hatuvifanyii hesabu Viunganishi vya maneno, na izo Nambari na Herufi zinatokana na mpangilio wa Namba na Alfabeti.

Baada ya kuijua Sayansi ya Uumbaji ni nini, sasa twende kwenye UCHUMI tuone vipi Sayansi ya Uumbaji imeuzungumzia UCHUMI, na kwanini nimeamua kuuzungumzia UCHUMI kupitia Sayansi ya Uumbaji!? kwa sababu Mimi Ghalib nina Uhusiano na UCHUMI, tazama

Ghalib kinamba

G=7, H=8, A=1, L=12, I=9, B=2

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 7+8+1+1+2+9+2= 30, hivyo GHALIB kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30 na UCHUMI ni hivyo hivyo, tazama

Uchumi kinamba

U=21, C=3, H=8, U=21, M=13, I=9

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 2+1+3+8+2+1+1+3+9= 30, hivyo UCHUMI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30 kama nilivyo Mimi GHALIB ni namba 30 kimaana kuna Uhusiano baina ya Mimi GHALIB na UCHUMI, pia ina maana UCHUMI ni FANI yangu, na si kwamba nimekurupuka kuzungumzia kitu nisichokijua, kimaana kabla hakijaumbwa Chochote tayari mimi nimekadiriwa hivyo, na ndio maana Sayansi ya Uumbaji ni MSINGI wa DUNIA ama MWANZO wa SAYARI kimana kabla ya kuumbwa Dunia ama Sayari kwanza yalikadiriwa makadirio yake.

Pia nimependa kukujuza kwanini CORONA ikatikisa UCHUMI wa DUNIA! Kwa sababu kuna Uhusiano baina ya CORONA na UCHUMI, tazama

Corona kinamba

C=3, O=15, R=18, O=15, N=14, A=1

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 3+1+5+1+8+1+5+1+4+1= 30, hivyo CORONA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 30 kama ulivyo UCHUMI ni namba 30 kimaana kuna Uhusiano baina ya CORONA na UCHUMI na kutokana na Uhusiano huu ndio maana CORONA ikatikisa UCHUMI wa DUNIA, hivyo Sayansi ya Uumbaji na Mimi GHALIB tunajua kuhusu UCHUMI.

Sasa twende tukaone namna Sayansi ya Uumbaji ilivyoipa uzito KODI na TOZO katika kuinua UCHUMI, Sayansi ya Uumbaji kutokana na Umuhimu wa KODI katika kuinua UCHUMI, imeipa Uhusiano na UHAI kimaana kuna Uhusiano baina ya KODI na UHAI, tazama

Kodi kinamba

K=11, O=15, D=4, I=9

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+1+1+5+4+9= 21, hivyo KODI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 21 na UHAI ni hivyo hivyo, tazama

Uhai kinamba

U=21, H=8, A=1, I=9

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 2+1+8+1+9= 21, hivyo UHAI kupitia Sayansi ya Uumbaji ni 21 kama ilivyo KODI ni namba 21, kimaana kuna Uhusiano baina ya KODI na UHAI, kimaana UCHUMI unategemea KODI na KODI ni UHAI, hivyo unapokwepa kulipa KODI basi umeondoa UHAI wa UCHUMI.

Lakini pia TOZO ni NGUVU kupitia Sayansi ya Uumbaji, tazama

Tozo kinamba

T=20, O=15, Z=26, O=15

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi Uumbaji yaani 2+0+1+5+2+6+1+5= 22, hivyo TOZO kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 na NGUVU ni hivyo hivyo, tazama

Nguvu kinamba

N=14, G=7, U=21, V=22, U=21

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji ni namba yaani 1+4+7+2+1+2+2+2+1= 22, hivyo NGUVU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 kama ilivyo TOZO ni namba 22 kimaana kuna Uhusiano baina ya TOZO na NGUVU, hivyo TOZO ni NGUVU na unapokataa TOZO basi umeua NGUVU katika UCHUMI kimaana TOZO ikikuwepo basi itatia NGUVU katika UCHUMI kwa kuwa asili ya TOZO ni NGUVU.

Pia KODI na TOZO zisipopangiliwa vizur basi huweza KUUBOMOA MOJA KWA MOJA UCHUMI.

Note: Kujua Mengi kupitia Sayansi ya Uumbaji, ni kuja tu kwenye Facebook, kupitia jina Bwana Bwana nafundisha kupitia Sayansi ya Uumbaji.
 
Upvote 1
Wewe sayansi yako hii umesomea wapi ? Nitajie formula ya hizo namba ulizotumia kuangalia uumbaji umezisoma kwenye chuo gani ?

maana tukirudi past kwenye uumbaji itafikia sehemu tutakuta amna kitu yani ni empty hakuna namba hakuna herufi na hakuna sayari wala uchumi.


Yani namaanisha tukitoka hapa present turudi past mwanzo wa uumbaji ni kwamba hatuta kuta kitu na Kama tukiamua kutoka present kwenda future tutakuta kuna namba nyengine mpya tofauti na hizi ulizo tumia.

Sasa kwaamaana hiyo hizi namba ulizo tumia hapa nikwamba hazikuwepo kipindi cha uumbaji yani past, ni kwamba zipo sahivi hapa present na Kama tukienda future hatuta zikuta kwaamaana hio namba hazihusiki na uumbaji sindiyo.


Tukisema turudi past kwenye mlipuko wa big bang hatuta kutakitu yani ni empty space sasa niambie hizi namba ulizo tutajia hapa zenyewe sizime tengenezwa na mwanadamu na mwanadamu alikuja Kuwepo kwenye uso wa dunia baada ya uumbaji kwahiyo tuambie hata mbunifu wa hizi namba anaitwa nani ? na alianza kuzifundisha mwaka gani ? Alafu utuambie umeunganishaje na uumbaji ?
 
Wewe sayansi yako hii umesomea wapi ? Nitajie formula ya hizo namba ulizotumia kuangalia uumbaji umezisoma kwenye chuo gani ....
Maswali ya mwanzo umejibu mwenyewe kwa kujifanya unajua hali ya kuwa hujui, Sayansi ya Uumbaji imejipambanua vizur kwamba ni MSINGI wa DUNIA ama MWANZO wa SAYARI, sasa inakuwaje namba zisikuwepo kabla na baada!? kwani Msingi na Nyumba kipi kinatangulia!? na kipi kinachakaa mwisho!?

Sayansi ya Uumbaji ni ya MUNGU haihusiani na BIG BANG
 
Wewe sayansi yako hii umesomea wapi ? Nitajie formula ya hizo namba ulizotumia kuangalia uumbaji umezisoma kwenye chuo gani ...
Kama huamini katika MUNGU una amini katika NGUVU za Asili basi izo NGUVU ndiye MUNGU mwenyewe, kimaana kuna Uhusiano baina ya MUNGU na NGUVU, Sayansi ya Uumbaji inakuthibitishia ilo, tazama

Mungu kinamba

M=13, U=21, N=14, G=7, U=21

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji ni namba yaani 1+3+2+1+1+4+7+2+1= 22, hivyo MUNGU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 na NGUVU ni hivyo hivyo, tazama

Nguvu kinamba

N=14, G=7, U=21, V=22, U=21

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+4+7+2+1+2+2+2+1= 22, hivyo NGUVU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 kama alivyo MUNGU ni namba 22 kimaana MUNGU ni iyo NGUVU unayodhani
 
hivi Unajua maana ya dimensions ?
 
Naweza nikawa na weka mjadara na mtoto wa Darasa la Saba maana maswali ujibu ufafanui au ujaelewa hoja yangu.

Kwasababu naona unaanza kuchanganya sayansi na dini

Ngoja nikufafanulie kidogo sizani Kama utaelewa lakini.

Katika dimension zipo 4 (4D) wewe kwenye post yako umezungumzia dimension 3 (3D) sasa dimension 3 na mungu wapi na wapi ?

Kwahiyo mimi na wewe nani amekosea nikisema "big bang" namaanisha kitu kinaonekana na kinashikika yani 3D sasa je mungu anashikika ? Kwahiyo mungu yupo kwenye dimensions 4 (4D) sawa. Usichanganye uumbaji ambao ni 3D na mungu ambaye yupo kwenye dimension nyengine 4D kwasababu 3D nikitu ambacho kinaweza kuonekana effect yake na tuka kishika mfano big bang, galaxy, black holes, planet, moon, asteroid, meteoroid, nebula, whormhole nk sizani Kama hivi vitu kwa sayansi yako unavijua.

Na tunapo zungumzia 4D ni vitu ambavyo vipo lakini havionekani kwenye universe akiwemo mungu. Kwahiyo hatuwezi kumuweka mungu kwenye uumbaji sawa maana yeye kisayansi tunasema kuwa yupo dimension nyengine yani 4D na sisi tupo kwenye dimension ya 3D ndiyo maana nikisema bigbang namaanisha nikitu ambacho kina one kana na kipo mfano vitabu vya dini vinasema wewe uliumbwa na mungu lakini sayansi inasema wewe ulizaliwa na muunganiko wa atomi ambazo zimepatikana baada ya mwanamke na mwananume kujamiiana inamaana hapo kuna dimension 4 4D ambayo nikitu kisicho onekana kwa macho tunakiita mungu kwamba kimeumba lakini kwenye dimension 3 3D namaanisha nikile kitendo cha kujaamiana ambacho kimeonekana kwa macho.

Kwahiyo nikuulize kwa mara nyengine hizo namba hapo mimi sijaelewa umeziwekaje wekaji kutoka present kurudi future wakati tukirudi future hakutakuwa na namba ?

Nimekuuliza unitajie mgunduzi wa hizo namba ulizo niwekea hapo anaitwa nani ?

Nimekuuliza unitajie mwaka ambao hizo namba zilianza kutumika ?

Nimekuuliza hii sayansi yako umesomea chuo gani maana haipo hebu tufafanulie huwenda kunasayansi mpya ?
 
Hivi vimchezo vya namba bila shaka ni vyashule ya msingi nimekuuliza hizi namba zinahusianaje na uumbaji maana ndicho ulicho kipost ?
 
Nakuuliza swali na wewe unauliza siume sema mimi sijui nakuuliza nini maana ya dimensions masuala ya vipimo kwani hapa tunazungumzia vipimo ?
Nimekuuliza kwa sababu ilo neno lina maana ya VIPIMO pia
 
Lakini si nimekuambia hii Sayansi ya Uumbaji haina Uhusiano na Big BANG na kwanini Uforce iendane na Mawazo ya Sayansi YENU

Acha niwe Darasa la Saba lakini anaejua ni tofauti na aliyekariri
 
Unachekesha sana eti Mungu hayupo kwenye 3D!! yaani UUMBAJI!!

Sayansi ya Uumbaji inathibitisha kwamba MUNGU yupo kwenye Uumbaji kimaana kuna Uhusiano baina ya MUNGU na DUNIA, tazama

Dunia kinamba

D=4, U=21, N=14, I=9, A=1

Tuzijumlishe namba moja moja moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 4+2+1+1+4+9+1= 22, hivyo DUNIA kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 na MUNGU ni hivyo hivyo, tazama

Mungu kinamba

M=13, U=21, N=14, G=7, U=21

Tuzijumlishe namba moja moja ndo formula ya Sayansi ya Uumbaji yaani 1+3+2+1+1+4+7+2+1= 22, hivyo MUNGU kupitia Sayansi ya Uumbaji ni namba 22 kama ilivyo DUNIA ni namba 22 kimaana kuna Uhusiano baina ya MUNGU na DUNIA, sasa inakuwaje MUNGU asihusike na 3D!? Sayansi ya Uumbaji imetuthibitishia kwamba MUNGU anahusika na UUMBAJI.

Tatizo lako umekaririshwa UJINGA, na hayo Maswali yako yote, jibu ni kwamba Sayansi ya Uumbaji ni ya MUNGU a.k.a NGUVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…