Uchunguzi: Google ina mchezo wa kupuuzia maneno unayoandika na kukupa matokeo ya search zinazo-trend

Uchunguzi: Google ina mchezo wa kupuuzia maneno unayoandika na kukupa matokeo ya search zinazo-trend

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata kama haviendani na ulichokitaka.

1658384615428.png


Henk van Ess, ameonesha mfano wa search aliyoifanya ambayo ilimletea matokeo tofauti. Hali hii ni ya kawaida unaposearch kwa kiswahili.

Lakini ameonesha uwezekano wa mtu kupata matokeo sahihi ya anachokitaka ikiwa atatumia mbinu zaidi zaidi ya kuandika keywords pekee.

Njia hizo ni pamoja na kutumia powerful search operators kama "", OR, Inurl nk
 
Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata kama haviendani na ulichokitaka.

View attachment 2298341

Henk van Ess, ameonesha mfano wa search aliyoifanya ambayo ilimletea matokeo tofauti. Hali hii ni ya kawaida unaposearch kwa kiswahili.

Lakini ameonesha uwezekano wa mtu kupata matokeo sahihi ya anachokitaka ikiwa atatumia mbinu zaidi zaidi ya kuandika keywords pekee.

Njia hizo ni pamoja na kutumia powerful search operators kama "", OR, Inurl nk
The cyber expart who made this childish research about Google,deserves the Ignorance award because he told us something that every person know about.
 
Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata kama haviendani na ulichokitaka.

View attachment 2298341

Henk van Ess, ameonesha mfano wa search aliyoifanya ambayo ilimletea matokeo tofauti. Hali hii ni ya kawaida unaposearch kwa kiswahili.

Lakini ameonesha uwezekano wa mtu kupata matokeo sahihi ya anachokitaka ikiwa atatumia mbinu zaidi zaidi ya kuandika keywords pekee.

Njia hizo ni pamoja na kutumia powerful search operators kama "", OR, Inurl nk
Ndio maana Google wanaajili watu wa ku analyse matokeo ya search engine kuona kama yanaendana na mtu anachotafuta
 
Back
Top Bottom