Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Kwa upande wa Liverpool yajayo yanaogopesha, kivipi? Safu yao ya ukuta imekuwa ikivuja sana. Wanaruhusu magoli sana hali ambayo sidhani kama itawaacha salama. Namuona CR7 akienda kupiga hat trick kama ukuta wa kamanda Van Dijk na Lovren utaendelea kuwa vile.
Ila kwa upande wa pili wa shilingi naiona safu ya ushambulizi ya Liverpool ikiwanyanyasa na kuwatesa akina Ramos hasa pale Marcelo atakapokuwa anapanda huku nyuma akiacha nafasi kwa Salah kufanya yake.
Kwa upande wangu kama Chamberlain angekuwepo mchezo wa fainali taji ningewapa Liver ila kwakuwa ni majeruhi namuona nahodha wa Madrid akinyanyua kwapa mara baada ya kipenda cha mwisho pale jijini Kiev.
Wewe kwa upande wako unategemea fainal ya aina gani?
Ila kwa upande wa pili wa shilingi naiona safu ya ushambulizi ya Liverpool ikiwanyanyasa na kuwatesa akina Ramos hasa pale Marcelo atakapokuwa anapanda huku nyuma akiacha nafasi kwa Salah kufanya yake.
Kwa upande wangu kama Chamberlain angekuwepo mchezo wa fainali taji ningewapa Liver ila kwakuwa ni majeruhi namuona nahodha wa Madrid akinyanyua kwapa mara baada ya kipenda cha mwisho pale jijini Kiev.
Wewe kwa upande wako unategemea fainal ya aina gani?