UCL Final: Tutegemee kuona nini katika fainali ya Madrid Vs Liverpool

Kuhus marcelo kupanda.. upande uo uo marcelo anaopanda ndo unayule dogo aliekimbizwa na rashford?na uo uo ndo una salah....huu upande huu utakua bampa tu bampa..ila mi ngekua zidane namkabizi casemiro sala apge man to man loki kama ashly yung...salah asiposhine game inaisha mapema
 
Game itakuwa rahisi sana, Liver usipowawapa nafasi ya Counter attack kwisha kazi, Mo Salah hizi game tatu mfululizo ananipa mashaka na kiwango chake hasa atakapokutana na beki dezaini ya Ramos, Marcelo ama kiungo Cassemiro......

Yajayo yanahudhunisha kwa liverpool
 
Tutegemee kuona R. Madrid akipewa penati au mchezaji wa Liverpool akipewa kadi nyekundu
 
Madrid 5 vs Liverpool 1...kipigo cha mwana ukome
 
mi naona timu yangu ya liverpool inaenda kufungwa na timu yangu ya Real Madrid [HASHTAG]#hallamadridsta[/HASHTAG]
 
Huwezi kutuwekea hata picha ya ubingwa mkuu?
 
Hii itakuwa ni fainali moja ya one sided haijawahi tokea in favor of The Kings of Europe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…