Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ni Usiku wa Ulaya!
Hatua ya robo fainali inaanza leo. Ambapo leo michezo miwili itapigwa.
1. Man City Vs Dortmund
2. Real Madrid Vs Liverpool
Na kesho jumatano itapigwa michezo mingine miwili ya robo fainali ambapo ni;
1. Bayern Munich Vs PSG
2. Porto Vs Chelsea
Baada ya hapo timu hizi zitarudiana ndani ya wiki zijazo na mshindi wa jumla (Aggregate) atafuzu kwa Nusu Fainali.
Tukutane hapahapa kwenye uzi huu kwa updates za mechi zote zaleo na za kesho, Usipitwe...
Kumbuka: Mechi zitaanza saa 4:00 usiku kwa saa za afrika ya mashariki
Tukianza na mechi za leo unampa nani nafasi? Karibuni....
Hatua ya robo fainali inaanza leo. Ambapo leo michezo miwili itapigwa.
1. Man City Vs Dortmund
2. Real Madrid Vs Liverpool
Na kesho jumatano itapigwa michezo mingine miwili ya robo fainali ambapo ni;
1. Bayern Munich Vs PSG
2. Porto Vs Chelsea
Baada ya hapo timu hizi zitarudiana ndani ya wiki zijazo na mshindi wa jumla (Aggregate) atafuzu kwa Nusu Fainali.
Tukutane hapahapa kwenye uzi huu kwa updates za mechi zote zaleo na za kesho, Usipitwe...
Kumbuka: Mechi zitaanza saa 4:00 usiku kwa saa za afrika ya mashariki
Tukianza na mechi za leo unampa nani nafasi? Karibuni....