UCSAF: Minara 107 inajengwa nyanda za juu Kusini ili kuboresha upatikanaji wa Mawasiliano kwa wananchi

UCSAF: Minara 107 inajengwa nyanda za juu Kusini ili kuboresha upatikanaji wa Mawasiliano kwa wananchi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Minara 42 ya Mawasiliano kati ya Minara 107 inayojengwa kanda ya nyanda za juu Kusini na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote imekamilika

Akizunģumza kupitia kipindi cha #Checkpoint, Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) nyanda za juu kusini Mhandisi Richard Sotery amesema ujenzi wa minara hiyo unafanyika kwenye mikoa ya Katavi,Mbeya,Njombe,Rukwa,Ruvuma na Songwe lengo likiwa ni kuboresha upatikanaji wa Mawasiliano kwa wananchi wote.

 
Sioni kazi ya minara ikitumika kipindi Fulani shortly mbeleni...tech inabadilika.
 
Back
Top Bottom