Udadisi tu...

I dont think so..! smal hauz zinamambo nyie acheni wengine ndo ivo hutoa mitandao yote,mtu mzima unabebwa,ikulu na ujanja wake inakua ndogo na kuwekwa kwenye kisosi..! waifu ni waifu tu bana
 
nyumba ndo tunafaidi bwana usiambiwe, kama haukubali kubali siku moja uwe small house utaona utamu wake
 
ur welcome:car:
ukichanganya na majukumu ya mama.. ndani yanyumba.... ..itafikia pahala maji yatazd unga tu... mwenyewe uta kumweka pembeni... naha po ndo smolu hausiz wanakusaidieni!
 
Jamani jamani mbona mie naweza lakini??

mara 5 kwa cku unaweza ww? na ndani ya hiyo mara 5 unapokea v4 v4 kw hiyo 5*4=20!! kama unaweza hii wallah we ofice yako iko kona bar.
 
huyo unaemdekeza home kwa kuhofia hawezi kuna mtu anamsimamia vidole, ni small house ya mtu mwingine.
 
Pole michelle, wala sio tamaa, u got to keep him buizy. sio ukikutana na shoga zako basi ni soka mpaka unasahau kwamba una mume hahah
 
ukichanganya na majukumu ya mama.. Ndani yanyumba.... ..itafikia pahala maji yatazd unga tu... Mwenyewe uta kumweka pembeni... Naha po ndo smolu hausiz wanakusaidieni!

na hyo small house ikipata majukumu unaikimbia unatafuta ingine au?
 
ukichanganya na majukumu ya mama.. ndani yanyumba.... ..itafikia pahala maji yatazd unga tu... mwenyewe uta kumweka pembeni... naha po ndo smolu hausiz wanakusaidieni!

mmmhhh yanini sasa unajiongezea majukumu na kutokuwa na amani ......
si presha ita zidi???
 
vya nje haviwezi fanywa ndani:frog::love:
 
mara 5 kwa cku unaweza ww? na ndani ya hiyo mara 5 unapokea v4 v4 kw hiyo 5*4=20!! kama unaweza hii wallah we ofice yako iko kona bar.

Halafu ngoja nikwambie wewe ukiolewa unananihiii kila siku sawa hilo moja! Halafu kudo mara 5 kila siku huo uongo sie tunado 1 or 2 basi na nikilasiku shida ipo wapi na hapo ndo jamaa anaonyesha there is no small house ha haha ha ha. Vitano hiyo ni small house once in a while!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…