Wadau naomba mnieleweshe, TCU wametangaza majina ya waliochaguliwa na vyuo husika ndio vimeyatoa ila ninachashangaa wale tulioomba kupitia NACTE tulio wengi hatujachaguliwa yaani waliochaguliwa walio wengi ni fresh 4m 6. Mfano UDSM, SUA, UDOM. na wanastate First Batch ina maana Batch watachaguliwa waliopitia NACTE?
Mnieleweshe wadau.
Mnieleweshe wadau.