Udahili wa kozi ya magereza kuna kipengele cha udhalilishaji

Unaenda kwenye mtaro unapanua miguu yako au unainama mkuu anapitisha mikono yake kwa Tigo ana angalia uharibifu kama upoo
 
Duh! Mi napita tu jamani,sikuwahi kusikia hizi habari tangu nizaliwe.

msafiri hata mimi nilishangaa kama wewe baada ya kusimuliwa ndio nikaamini ila kwa wadau walivyotoa point ya kufanya hivyo ninakubaliana nao maana unaweza kuwa unajamba jamba kwenye gwaride ukaleta aibu bure
 
Unaenda kwenye mtaro unapanua miguu yako au unainama mkuu anapitisha mikono yake kwa Tigo ana angalia uharibifu kama upoo

no no no no no sio hivyo bana akushike kwa mikono yake?? hapo sio umekosea mkuu
 

Aisee mnawezaje kunoa huko nyuma, msaada tafadhali
 

So mkuu unapitisha wembe??? acha zako bhana
 
Dah hii thread imenipa vitu vingi sana, pia kuna jamaa yangu nae alifanyiwa kipimo kama hicho pale jitegemee, lakini wakuu hivi askari wa Zenji wanapass vipi? Naomba muongozo wakuu
 
wallah! Naomba nipatiwe hicho kitengo bila malipo nitafanya kazi!
 

wanapimaje ?
 

Wanaipimaje hiyo sifuri?
 
Aisee mnawezaje kunoa huko nyuma, msaada tafadhali

kwahiyo wew hunyoagi nyuma.. wenzio tumejifunza inabidi uwe flexible maana ni zaidi ya zoezi.. au omba msaada kwa mwenzi wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…