Knuckletouchez
New Member
- May 7, 2021
- 3
- 6
Kuna idadi kubwa ya waalimu graduates kutoka vyuo mbalimbali alafu Ajira za ualimu zimekuwa finyu.
Kukabiliana na janga hili la waalimu jobless yafuatayo yafanyike:
1. Serikali iache mara moja kuweka kipaumbele cha mikopo ya elimu ya juu kwa watu wanaosomea ualimu badala yake ikopeshe vijana wanaosoma IT, bussines na kilimo, hii itapunguza wimbi kubwa la wahitimu wanaoenda kusoma ualimu chuo kikuu
2. Alama za ufaulu ziongezwe kwa mtu anaetaka kusoma ualimu, kusoma ualimu iwe kwa wnafunzi wanaofaulu vizuri zaidi sio ambao wamefeli.
Kukabiliana na janga hili la waalimu jobless yafuatayo yafanyike:
1. Serikali iache mara moja kuweka kipaumbele cha mikopo ya elimu ya juu kwa watu wanaosomea ualimu badala yake ikopeshe vijana wanaosoma IT, bussines na kilimo, hii itapunguza wimbi kubwa la wahitimu wanaoenda kusoma ualimu chuo kikuu
2. Alama za ufaulu ziongezwe kwa mtu anaetaka kusoma ualimu, kusoma ualimu iwe kwa wnafunzi wanaofaulu vizuri zaidi sio ambao wamefeli.