Udaktari: Kwa mwenye uzoefu na ujuzi naomba anipe muongozo

Udaktari: Kwa mwenye uzoefu na ujuzi naomba anipe muongozo

NUHWAHI

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
306
Reaction score
490
Nina wito na mapenzi ya dhati kuwa daktari.

Nilianza jaribu kutimiza wito huu kwa kusoma masomo ya sayansi O-LEVEL,nimefaulu vizuri masomo hayo.

Advance nikashndwa kumudu kusoma PCB kwa kutoziweza gharama za tuition na vitabu husika.

Nikasoma EGM na kufaulu vizuri pia.

Natamani nijikite ktk utaalamu wa kutibu figo au moyo.

Naombeni muongozo wadau.

Mwenye nia njema anitafute kwa PM
 
nina wito na mapenzi ya dhati kuwa daktari..
Nilianza jaribu kutimiza wito huu kwa kusoma masomo ya sayansi O-LEVEL,nimefaulu vizuri masomo hayo..
Advance nikashndwa kumudu kusoma PCB kwa kutoziweza gharama za tuition na vitabu husika...nikasoma EGM na kufaulu vizuri pia...

natamani nijikite ktk utaalamu wa kutibu figo au moyo,,.naombeni muongozo wadau...mwenye nia nje anitafute kwa PM

Sasa EGM Na Kutibu Figo Na Moyo Wapi Na Wapi Tena Mkuu? Hapo Ni Sawa Na Kumwambia MBILIKIMO Apige MSAMBA Ktk Beseni Je Ataweza?
 
unaweza sana tu ila inakubd uwe na mvumilivu sanaa kama utaweza kutumia chet cha fm4 though n safar ndefu lkn
 
Sasa EGM Na Kutibu Figo Na Moyo Wapi Na Wapi Tena Mkuu? Hapo Ni Sawa Na Kumwambia MBILIKIMO Apige MSAMBA Ktk Beseni Je Ataweza?

aisee! hata kuanza na diploma haiwezekani? nipo tayari kuanza level ya chni kabisa na kupanda taratibu mpaka level husika..
 
aisee! hata kuanza na diploma haiwezekani? nipo tayari kuanza level ya chni kabisa na kupanda taratibu mpaka level husika..

Ngoja Wajuvi Na Werevu Waje Watakujibu Na Sisi Mangumbaru Tutulie Tu.
 
apo una bonge la safari ila usikate tamaa....itabidi uanzie Diploma ambayo huchukua Miaka 3. qualfcation zake lazma uwe na credt za Chemistry&biology na angalau D ya physc unatuma maombi wizaya ya afya ukitolewa njee vyuo vya goverment inabd uende private ambapo gharama zake ni milioni 2...!! bila kusahau na mitihani migumu ya Nacte...kazi kwako mkuu..!!

NB: ata mm binafsi yangu niwe mwazi nili anzia Diploma ila now nko MD so ata kwako itawezekana ila vikwazo ni vingi mno.
 
apo una bonge la safari ila usikate tamaa....itabidi uanzie Diploma ambayo huchukua Miaka 3. qualfcation zake lazma uwe na credt za Chemistry&biology na angalau D ya physc unatuma maombi wizaya ya afya ukitolewa njee vyuo vya goverment inabd uende private ambapo gharama zake ni milioni 2...!! bila kusahau na mitihani migumu ya Nacte...kazi kwako mkuu..!!

NB: ata mm binafsi yangu niwe mwazi nili anzia Diploma ila now nko MD so ata kwako itawezekana ila vikwazo ni vingi mno.

hapo kwenye ufaulu wa O-LEVEL haina shda nimejitahdi kupata chemi-A, phy-B, bios-C na math..B,kwa mujibu wa viwango vya ufaulu vya mwaka2009..nisaidie nijue course inaitwaje itakayonifanya ni specialize kwenye figo
 
hapo kwenye ufaulu wa O-LEVEL haina shda nimejitahdi kupata chemi-A, phy-B, bios-C na math..B,kwa mujibu wa viwango vya ufaulu vya mwaka2009..nisaidie nijue course inaitwaje itakayonifanya ni specialize kwenye figo

ahaaaaaaa..!! mkuu umenfurahisha..kwa ufaulu wako huo unachukuliwa ivyo inabidi upige CLINICAL MEDICINE a.k.a clinical officer ukisha maliza miaka 3. unatakiwa upate GPA ya kuanzia 2.7 then after unaenda MD miaka 5+1 wa intel...! baada ya hapo ndo uka specialse iyo FIGO ivyo utaona una safari ya miaka 8 ndo uje specialse iyo figo miaka 2..!!

NB: ukikosa GPA ya 2.7 autaenda MD tena itabidi ukafanye kwanza kitu kinaitwa AMO( advance dploma ya Medcal offcer) ambayo ni miaka 2..!!! kazi kwako mkuu.
 
Tumia cheti cha form 4 kasome clinical officers' course- wengine wanaita medical assistant course. Vyuo ni vingi sana

Asante kwa muongozo huo...pia endelea kudadavua kdogo, je kupitia kuwa clinical officer ntaweza jiendeleza mpaka kuwa kitengo cha upasuaji na matibabu ya figo? wito wangu niweze tibu figo au moyo tu..kimajawapo mpaka nifike hatua ya upasuaji kabisa jamani
 
Asante kwa muongozo huo...pia endelea kudadavua kdogo, je kupitia kuwa clinical officer ntaweza jiendeleza mpaka kuwa kitengo cha upasuaji na matibabu ya figo? wito wangu niweze tibu figo au moyo tu..kimajawapo mpaka nifike hatua ya upasuaji kabisa jamani

Wewe hakuna anayesomea kupasua figo. Unasoma clinical officer, jitahidi ufaulu vizuri sana, then baadaye unakwenda medicine. Ukifanikiwa kupata MD degree, then masters you enter into specialisation. Ukishajiunga na medical school utaelekezwa namna ya kwenda huko unakokutaka!
 
Asante kwa muongozo huo...pia endelea kudadavua kdogo, je kupitia kuwa clinical officer ntaweza jiendeleza mpaka kuwa kitengo cha upasuaji na matibabu ya figo? wito wangu niweze tibu figo au moyo tu..kimajawapo mpaka nifike hatua ya upasuaji kabisa jamani
iko hivi mkuu,ukimaliza clinical officer miaka 3,utasoma MD miaka 5,baada ya hapo,utaenda internship mwaka 1,baada ya hapo utasoma master of medicine,MMED general surgery miaka 3,baada ya hapo utasoma kitu kinaitwa super specialization miaka 2,master of science in cardiology(MOYO) au kama FIGO master of science in nephrology.

JUMLA YA MIAKA:3DIP+5MD+1INTERN+3MMED+2SUPER-SPECIAL=14 YEARS
NOTE:HIYO MIAKA HAPO HAUJAFANYA KAZI HATA MWAKA MMOJA.
 
iko hivi mkuu,ukimaliza clinical officer miaka 3,utasoma MD miaka 5,baada ya hapo,utaenda internship mwaka 1,baada ya hapo utasoma master of medicine,MMED general surgery miaka 3,baada ya hapo utasoma kitu kinaitwa super specialization miaka 2,master of science in cardiology(MOYO) au kama FIGO master of science in nephrology.

JUMLA YA MIAKA:3DIP+5MD+1INTERN+3MMED+2SUPER-SPECIAL=14 YEARS
NOTE:HIYO MIAKA HAPO HAUJAFANYA KAZI HATA MWAKA MMOJA.

ahaaa..mkuu unamvunja mtoto moyo ungemuacha apo kwenye MD tu ili awe na moyo iyo miaka mingine ya GENERAL aje ijulia huko huko.....!!!!
 
iko hivi mkuu,ukimaliza clinical officer miaka 3,utasoma MD miaka 5,baada ya hapo,utaenda internship mwaka 1,baada ya hapo utasoma master of medicine,MMED general surgery miaka 3,baada ya hapo utasoma kitu kinaitwa super specialization miaka 2,master of science in cardiology(MOYO) au kama FIGO master of science in nephrology.

JUMLA YA MIAKA:3DIP+5MD+1INTERN+3MMED+2SUPER-SPECIAL=14 YEARS
NOTE:HIYO MIAKA HAPO HAUJAFANYA KAZI HATA MWAKA MMOJA.

Asisahau before masters you must have GPA above 2.8 and worked at least 1year in a particular department in recognised hospital, eg .department pf cardiology, so 14+1=15years
 
Umesema ulishindwa kusoma pcb kwasabab hukuwa na hela...duh.au uliona hutoweza hiyo kombi kwa kuwa ni ngumu!
 
Ndoto zingine zitabaki kua ndoto tu kaka angu..

Hahahaha :lol: :lol:

Kama ndoto zako zipo kwenye uwezo wako we zifuate tu. Mimi mwenyewe nipo kwenye dilema dizain kama ya huyo jamaa.
 
Hahahaha :lol: :lol:

Kama ndoto zako zipo kwenye uwezo wako we zifuate tu. Mimi mwenyewe nipo kwenye dilema dizain kama ya huyo jamaa.

Mh, nahisi za huyu jamaa ziko nje ya uwezo wake, japo penye nia pana njia
 
Mh, nahisi za huyu jamaa ziko nje ya uwezo wake, japo penye nia pana njia

Miaka 14-15 sio mchezo, ila nipo kwenye nafasi kama yake lakini kwangu ni 5 tu.

Asivunjike moyo tu kuna raha sana ya kufanya kitu unachokipenda.
 
Back
Top Bottom