Udaktari wa tiba asili unalipa kuliko wa mahospitalini

Udaktari wa tiba asili unalipa kuliko wa mahospitalini

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Hawa jamaa wanaotibu kwa madawa asili wanakula mkwanja mkubwa sana. Yani walivowashika watu au mtu yupo tayari kununua dawa ya asili iliyofungwa kijanja laki na nusu kuliko kununua duka la madawa dawa elfu kumi.

Daktari wa sili anasikilizwa sana kuliko wa hospitalini na tena wameteka sana watu wa mijini wenye matatizo ya nguvu za kiume, uzazi, kisukari na kuimarisha mwili.

Ndio maana wanapata pesa kubwa hawa watu
 
Milioni 100 kwa ajili ya Ubunge

Millioni 500 kwa ajili ya Uwaziri

Billion 1.5 kwa ajili ya Uraisi

Njoo nikupe connection hiyo uhakika.
 
Hawa jamaa wanaotibu kwa madawa asili wanakula mkwanja mkubwa sana. Yani walivowashika watu au mtu yupo tayari kununua dawa ya asili iliyofungwa kijanja laki na nusu kuliko kununua duka la madawa dawa elfu kumi.

Daktari wa sili anasikilizwa sana kuliko wa hospitalini na tena wameteka sana watu wa mijini wenye matatizo ya nguvu za kiume, uzazi, kisukari na kuimarisha mwili.

Ndio maana wanapata pesa kubwa hawa watu
Mgonjwa achagui tiba
 
Hawa jamaa wanaotibu kwa madawa asili wanakula mkwanja mkubwa sana. Yani walivowashika watu au mtu yupo tayari kununua dawa ya asili iliyofungwa kijanja laki na nusu kuliko kununua duka la madawa dawa elfu kumi.

Daktari wa sili anasikilizwa sana kuliko wa hospitalini na tena wameteka sana watu wa mijini wenye matatizo ya nguvu za kiume, uzazi, kisukari na kuimarisha mwili.

Ndio maana wanapata pesa kubwa hawa watu
Ndio maana kila sehemu kumefunguliwa maduka ya dawa za asili,na wengine wanauza kando ya barabara ni wengi sana.Na wapo wanaouza kwa kuzunguka,sehemu mbalimbali,mitaani.
 
Back
Top Bottom