Serikali kupitia wizara ya afya inaanzisha degree ya udaktari wa binadamu ya miaka mitatu. Hatua waliyofikia hadi sasa ni kuandaa mtaala(curiculum) na watu walikuwa morogoro wiki yote hii kwa ajili hiyo. Jamani wanajamii si wanataka kutumaliza? Iweje mtu asome miaka mitatu apewe dhamana ya miili na afya za wananchi wanyonge ilhali kwa kipindi hicho haimtoshi hata kuifahamu anatomia ya mwili?
Au ni kwa kuwa wao hawatatibiwa na hawa Mavoda fasta maana hata juzi tu tulishuhudia mtu kapata upele kakimbizwa india fasta!!
Au ni kwa kuwa wao hawatatibiwa na hawa Mavoda fasta maana hata juzi tu tulishuhudia mtu kapata upele kakimbizwa india fasta!!