miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Weweeweeee tena Huko usiguse kabisa!
Yani ukifika kwa chululu utamuona Khantwe atakavyokufinyaga! Usichezee kabisa Mali zake!
Mchawi alokuroga katekwa na boko haramu
katekwa na moyo wangu mumuache siatakki ushahidi
ha ha haha wifi acha Ntuzu kidogo afanikiwe yeye na dada yake Honey Faith, niachane na kaka yako Mr Rocky wewe nimetoa mkwara wa maana nimemrudisha si unajua nvyo mpenda kaka yako.... wewe nimesema nitamkata Ntuzu chululu yake acha mpenziwe mpya Khantwe anitishe wewe nikamwambia kama kashindwa kutuliza kitenesi chake yani ( Ntuzu) atuache wewe yani bibie nimekumiss
1. Baada ya mwenyekiti lara 1 wa chama cha "NO FREE P" kujiuzulu na kuamua kolewa na mbabu Matola sasa chama chapata viongozi wapya. Mwenyekiti wake awa miss chagga huku akisaidiwa kwa ukaribu na umukagame. badiebey bado yupo kwenye recruitment stage.
2. Tukisalia hapo kwa badiebey, ambapo usajili wake kwenye chama hicho unasitasita baada ya kutangaziwa dau la ndoa na Zekidon. Kaka inabidi ujipange..nilijaribu tu kuchungulia PM yake...wakware ni wengi kuliko unavyodhani. Tetesi zinasema kuna kigogo mmoja kajitolea kumpeleka Bagamoyo wikiendi hii.
3. Mamndenyi ahaha kuusaka usingizi. Ni baada ya vijana kuonesha kutosumbuliwa na fedha zake. Ama kweli umri ukikutupa...
4. Imebainika kazi aifanyayo benteke ni fundi viatu mitaa ya mwenge. Hii ni baada ya uchunguzi wa kiintelijensia. NB: Bado asisitiza licha ya kazi hiyo, game yake ipo juu!
5. Imegundulika!!! Yule aliyekuwa akimbembeleza Rapunzel ni mume wa watoto wawili. Tetesi za kuaminika zinamhusisha zaidi Invisible (msiulize)
6. SERIOUS: Waalimu ambao hamjapata mishahara yenu...fuatilieni Utumishi kujua mustakabali wenu. Imegundulika ni kwa kuwa system imegonganisha majina. Vyeti vyenu vinatumika sehemu nyingine.
7. Baada ya maisha kumshinda, Honey Faith sasa ahaha kusaka kazi emirates! (wasifu: she is 4'' tall..ama tuseme short?lol)
8. Kasinde sasa ahaha kusaka wanachama katika chama lake lipya, linaitwa..."P for Fun." Kutaka kujiunga tafadhali kinadada mnitumie PM kwa maelekezo.
9. snowhite sasa ahaha kutafuta timu mpya! Ni baada ya zote alizokuwa akishabikia kutolewa. Ushauri wahitajika Cc: EMT agosti 8 , RRONDO et al
10. Munkari alikumbuka penzi la Mshinga...ahaha kumtafuta kila mahali! Uzi wake kufukunyua mengi...
11. Asprin ahaha kutafuta mbadala wa Khantwe. Yaonesha makali yake yaelekea kupungua.
12. Kaizer afichwa kusikojulikana. Asakwa kila mahali. Yasemekana amefichwa na mwanamama mmoja huko Kibaigwa.
13. Lenin v.i atishia kumloga miss neddy. Ni baada ya kuzungushwa sana tongozo lake.
14. Inasemekana yule 'samaki mwenye mengi ya kusema, ila mdomoni ana maji' a.k.a. BAK aanza kurusha ndoano kwa mlimbwende mmoja wa hapa JF. Aomba jina lake lisitajwe...
15. Mr Rocky ahaha kujisafisha kutoka kwenye lile litimu ambalo kila mtu ni member na kila mtu si member a.k.a #teamB. Ni baada ya kukiri kuwa 'alichepuka kidogo'. Kuchepuka kwake kumekuwa kwa mara kwa mara.
16. ...
16.
1. Baada ya mwenyekiti lara 1 wa chama cha "NO FREE P" kujiuzulu na kuamua kolewa na mbabu Matola sasa chama chapata viongozi wapya. Mwenyekiti wake awa miss chagga huku akisaidiwa kwa ukaribu na umukagame. badiebey bado yupo kwenye recruitment stage.
2. Tukisalia hapo kwa badiebey, ambapo usajili wake kwenye chama hicho unasitasita baada ya kutangaziwa dau la ndoa na Zekidon. Kaka inabidi ujipange..nilijaribu tu kuchungulia PM yake...wakware ni wengi kuliko unavyodhani. Tetesi zinasema kuna kigogo mmoja kajitolea kumpeleka Bagamoyo wikiendi hii.
3. Mamndenyi ahaha kuusaka usingizi. Ni baada ya vijana kuonesha kutosumbuliwa na fedha zake. Ama kweli umri ukikutupa...
4. Imebainika kazi aifanyayo benteke ni fundi viatu mitaa ya mwenge. Hii ni baada ya uchunguzi wa kiintelijensia. NB: Bado asisitiza licha ya kazi hiyo, game yake ipo juu!
5. Imegundulika!!! Yule aliyekuwa akimbembeleza Rapunzel ni mume wa watoto wawili. Tetesi za kuaminika zinamhusisha zaidi Invisible (msiulize)
6. SERIOUS: Waalimu ambao hamjapata mishahara yenu...fuatilieni Utumishi kujua mustakabali wenu. Imegundulika ni kwa kuwa system imegonganisha majina. Vyeti vyenu vinatumika sehemu nyingine.
7. Baada ya maisha kumshinda, Honey Faith sasa ahaha kusaka kazi emirates! (wasifu: she is 4'' tall..ama tuseme short?lol)
8. Kasinde sasa ahaha kusaka wanachama katika chama lake lipya, linaitwa..."P for Fun." Kutaka kujiunga tafadhali kinadada mnitumie PM kwa maelekezo.
9. snowhite sasa ahaha kutafuta timu mpya! Ni baada ya zote alizokuwa akishabikia kutolewa. Ushauri wahitajika Cc: EMT agosti 8 , RRONDO et al
10. Munkari alikumbuka penzi la Mshinga...ahaha kumtafuta kila mahali! Uzi wake kufukunyua mengi...
11. Asprin ahaha kutafuta mbadala wa Khantwe. Yaonesha makali yake yaelekea kupungua.
12. Kaizer afichwa kusikojulikana. Asakwa kila mahali. Yasemekana amefichwa na mwanamama mmoja huko Kibaigwa.
13. Lenin v.i atishia kumloga miss neddy. Ni baada ya kuzungushwa sana tongozo lake.
14. Inasemekana yule 'samaki mwenye mengi ya kusema, ila mdomoni ana maji' a.k.a. BAK aanza kurusha ndoano kwa mlimbwende mmoja wa hapa JF. Aomba jina lake lisitajwe...
15. Mr Rocky ahaha kujisafisha kutoka kwenye lile litimu ambalo kila mtu ni member na kila mtu si member a.k.a #teamB. Ni baada ya kukiri kuwa 'alichepuka kidogo'. Kuchepuka kwake kumekuwa kwa mara kwa mara.
16. ...
16.
yani mimi siachiki nimemwachia Khantwe hicho kitenesi... weka kichwani mwako huwa siachwi naacha he he he he mtoto wa kichaga nilifundwa uzaramuni na kukulia uhayani he he he siachiki .... kaka yako Ntuzu nilimwacha kwa kuwa mbahili aiii mimi wa nini sitaki kabisa....anataka papuchi huku kuhudumia hataki aiii mie nnimefundwa uazaramuni wanasema binti anahudumiwa si kuhangaika ... he he he he uniache niringe mie...
Nakusalimia..........!
1. Baada ya mwenyekiti lara 1 wa chama cha "NO FREE P" kujiuzulu na kuamua kolewa na mbabu Matola sasa chama chapata viongozi wapya. Mwenyekiti wake awa miss chagga huku akisaidiwa kwa ukaribu na umukagame. badiebey bado yupo kwenye recruitment stage.
2. Tukisalia hapo kwa badiebey, ambapo usajili wake kwenye chama hicho unasitasita baada ya kutangaziwa dau la ndoa na Zekidon. Kaka inabidi ujipange..nilijaribu tu kuchungulia PM yake...wakware ni wengi kuliko unavyodhani. Tetesi zinasema kuna kigogo mmoja kajitolea kumpeleka Bagamoyo wikiendi hii.
3. Mamndenyi ahaha kuusaka usingizi. Ni baada ya vijana kuonesha kutosumbuliwa na fedha zake. Ama kweli umri ukikutupa...
4. Imebainika kazi aifanyayo benteke ni fundi viatu mitaa ya mwenge. Hii ni baada ya uchunguzi wa kiintelijensia. NB: Bado asisitiza licha ya kazi hiyo, game yake ipo juu!
5. Imegundulika!!! Yule aliyekuwa akimbembeleza Rapunzel ni mume wa watoto wawili. Tetesi za kuaminika zinamhusisha zaidi Invisible (msiulize)
6. SERIOUS: Waalimu ambao hamjapata mishahara yenu...fuatilieni Utumishi kujua mustakabali wenu. Imegundulika ni kwa kuwa system imegonganisha majina. Vyeti vyenu vinatumika sehemu nyingine.
7. Baada ya maisha kumshinda, Honey Faith sasa ahaha kusaka kazi emirates! (wasifu: she is 4'' tall..ama tuseme short?lol)
8. Kasinde sasa ahaha kusaka wanachama katika chama lake lipya, linaitwa..."P for Fun." Kutaka kujiunga tafadhali kinadada mnitumie PM kwa maelekezo.
9. snowhite sasa ahaha kutafuta timu mpya! Ni baada ya zote alizokuwa akishabikia kutolewa. Ushauri wahitajika Cc: EMT agosti 8 , RRONDO et al
10. Munkari alikumbuka penzi la Mshinga...ahaha kumtafuta kila mahali! Uzi wake kufukunyua mengi...
11. Asprin ahaha kutafuta mbadala wa Khantwe. Yaonesha makali yake yaelekea kupungua.
12. Kaizer afichwa kusikojulikana. Asakwa kila mahali. Yasemekana amefichwa na mwanamama mmoja huko Kibaigwa.
13. Lenin v.i atishia kumloga miss neddy. Ni baada ya kuzungushwa sana tongozo lake.
14. Inasemekana yule 'samaki mwenye mengi ya kusema, ila mdomoni ana maji' a.k.a. BAK aanza kurusha ndoano kwa mlimbwende mmoja wa hapa JF. Aomba jina lake lisitajwe...
15. Mr Rocky ahaha kujisafisha kutoka kwenye lile litimu ambalo kila mtu ni member na kila mtu si member a.k.a #teamB. Ni baada ya kukiri kuwa 'alichepuka kidogo'. Kuchepuka kwake kumekuwa kwa mara kwa mara.
16. ...
16.
yani mimi siachiki nimemwachia Khantwe hicho kitenesi... weka kichwani mwako huwa siachwi naacha he he he he mtoto wa kichaga nilifundwa uzaramuni na kukulia uhayani he he he siachiki .... kaka yako Ntuzu nilimwacha kwa kuwa mbahili aiii mimi wa nini sitaki kabisa....anataka papuchi huku kuhudumia hataki aiii mie nnimefundwa uazaramuni wanasema binti anahudumiwa si kuhangaika ... he he he he uniache niringe mie...
Hahahahaaa daaah...