Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Kuwa dalali, hauhitaji kuwa na mtaji wa fedha, hauhitaji kuwa na madegree, haihitaji kudamka asubuhi kuwahi kazini, haina cha kupoteza, kazi tamu sana udalali.
Mtu atakupigia simu mwenyewe, akikifanikishia swala la kupanga nyumba, jengo nk inabidi umlipe hell sawa na kodi ya mwezi mmoja. Fikiria anaingiza vichwa vingapi kwa majiji kama Dsm, Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma nk.
Tena madalali wa viwanja, majengo ya biashara, magari wanapiga genji ndefu sana. Dalali mjini anakula tu bata. Watoto wako shule nzuri na familia maisha safi.
Haihitaji kuwa na madegree, haihitaji kukopa benki ili upate mtaji. Upo tu home simu zinaingia zenyewe. Mara laki 2, mara elfu 50, mara laki 5 maisha safi sana
Maisha ya udadli safi sana.
Udadali ndo mpango mzima.
Mtu atakupigia simu mwenyewe, akikifanikishia swala la kupanga nyumba, jengo nk inabidi umlipe hell sawa na kodi ya mwezi mmoja. Fikiria anaingiza vichwa vingapi kwa majiji kama Dsm, Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma nk.
Tena madalali wa viwanja, majengo ya biashara, magari wanapiga genji ndefu sana. Dalali mjini anakula tu bata. Watoto wako shule nzuri na familia maisha safi.
Haihitaji kuwa na madegree, haihitaji kukopa benki ili upate mtaji. Upo tu home simu zinaingia zenyewe. Mara laki 2, mara elfu 50, mara laki 5 maisha safi sana
Maisha ya udadli safi sana.
Udadali ndo mpango mzima.