Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Pamoja na yote maishani mwangu kitu kinaitwa udanganyifu kwenye mitihani nakichukia sana. Udanganyifu kwenye mitihani ndio mwanzo wa mla rushwa na fisadi.
Kama mtu haogopi kufanya cheating kwenye mitihani huyo mtu katu abadani hatoogopa kula rushwa, hatoogopa kufisadi fedha na mali za umma.
Athari nyingine ya cheating kwenye mitihani ni kuzalisha wasomi vilaza ambao kazi wanajifunzia ofisini baada ya kuajiriwa.
Udanganyifu kwenye mitihani adhabu yake iwe kifo au kifungo cha maisha. Tukichekeana hatufiki mbali.
China wamefika mbali kwa Sheria kali.
Kijana yupo chuo kikuu busy na ulevi na uzinzi lakini mwishowe anafanya cheating anapata degree
Kama mtu haogopi kufanya cheating kwenye mitihani huyo mtu katu abadani hatoogopa kula rushwa, hatoogopa kufisadi fedha na mali za umma.
Athari nyingine ya cheating kwenye mitihani ni kuzalisha wasomi vilaza ambao kazi wanajifunzia ofisini baada ya kuajiriwa.
Udanganyifu kwenye mitihani adhabu yake iwe kifo au kifungo cha maisha. Tukichekeana hatufiki mbali.
China wamefika mbali kwa Sheria kali.
Kijana yupo chuo kikuu busy na ulevi na uzinzi lakini mwishowe anafanya cheating anapata degree