X men
Member
- Dec 26, 2021
- 18
- 35
Habari wadau!!
Nimeona leo tujadili hili suala ambalo kadri siku zinavyozidi linazidi kuota mizizi, kumekua na udanganyifu mkubwa sana katika hizi Hospitali binafsi hasa zile zinajinasibu kutoa huduma za kibingwa, ukienda hizo hospitali mfano Nkinga referral hospital ya Igunga, Malolo Hospital ya Tabora n.k
Milango yote ya madaktari imeandikwa Daktari bingwa wa hiki na hiki, lakini ndani humo wanaotoa huduma sio Madaktari bingwa, unakuta mgonjwa anatoka zake Hospitali ya ya Wilaya ambako kuna Madaktari wa kawaida amepewa rufaa ya kwenda huko kupata huduma za Kibingwa lakini akienda anaishia kupigwa pesa na kuhudumiwa na Daktari wa kawaida kwa matibabu yale yale aliyoyapata huko alikotoka. Kwanini wanadanganya wagonjwa?
Serikali haitambui huu utapeli?
Na hii imekua ikifanyika kwa hizi Polyclinic na referral hospital nyingi nchini.
Huu ni utapeli dhidi ya afya za Watu.
Nimeona leo tujadili hili suala ambalo kadri siku zinavyozidi linazidi kuota mizizi, kumekua na udanganyifu mkubwa sana katika hizi Hospitali binafsi hasa zile zinajinasibu kutoa huduma za kibingwa, ukienda hizo hospitali mfano Nkinga referral hospital ya Igunga, Malolo Hospital ya Tabora n.k
Milango yote ya madaktari imeandikwa Daktari bingwa wa hiki na hiki, lakini ndani humo wanaotoa huduma sio Madaktari bingwa, unakuta mgonjwa anatoka zake Hospitali ya ya Wilaya ambako kuna Madaktari wa kawaida amepewa rufaa ya kwenda huko kupata huduma za Kibingwa lakini akienda anaishia kupigwa pesa na kuhudumiwa na Daktari wa kawaida kwa matibabu yale yale aliyoyapata huko alikotoka. Kwanini wanadanganya wagonjwa?
Serikali haitambui huu utapeli?
Na hii imekua ikifanyika kwa hizi Polyclinic na referral hospital nyingi nchini.
Huu ni utapeli dhidi ya afya za Watu.