UDANGANYIFU waigubika Law School...

UDANGANYIFU waigubika Law School...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Wanafunzi wa Kohoti ya kumi ya Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo maarufu kama Law School wapo kwenye mitihani ya Written Practical Exercises(WPE).Wanamaliza mitihani hiyo leo.Hadi sasa,wanafunzi wapatao wanne wamekamatwa wakiwa na vitu visivyoruhusiwa katika chumba cha mtihani.Mmoja wa wanafunzi waliokamatwa anatajwa kuwa ni mfanyakazi wa Taasisi hiyo aliye masomoni kwa sasa Taasisini hapo.Law School ifanye nini juu ya hili?
 
Back
Top Bottom