N Nams Member Joined Dec 24, 2013 Posts 17 Reaction score 9 Jul 31, 2018 #1 Shida ipo wapi mbona serekali imekaa kimya haitoi tamko lolote kuhusu huu mradi maana tunapata tabu kuna shida gani katika hili?
Shida ipo wapi mbona serekali imekaa kimya haitoi tamko lolote kuhusu huu mradi maana tunapata tabu kuna shida gani katika hili?
squirtinator JF-Expert Member Joined Sep 20, 2015 Posts 2,765 Reaction score 4,182 Jul 31, 2018 #2 Pambana na hali yako. Kisena anatoka kanda pendwa, hatumbuliki. Ile kanda ni untouchable. Huku dar walala hoi nyumba zabomolewa, kule ole wao atakayewabomolea. Kisena na udart ni wa kanda pendwa mkuu. Hatumbuliki.
Pambana na hali yako. Kisena anatoka kanda pendwa, hatumbuliki. Ile kanda ni untouchable. Huku dar walala hoi nyumba zabomolewa, kule ole wao atakayewabomolea. Kisena na udart ni wa kanda pendwa mkuu. Hatumbuliki.